Kufuatia kamati ya wataalam kutoa maoni yao juu ya mustakabli wa Tanzania kuhusu chanjo ya corona, Mh Rais ameruhusu kuingizwa kwa chanjo hizo kwa nchi za nje ambao wana watumishi wao hapa Tanzania. Huo ni mwanzo wa kuingizwa matumizi yake nchini. Nini Maoni yako kama mwananch, je upo tayari...
Mdogo wangu, kuzaliwa wa kwanza kuna baraka zake na pia ni ushahidi wa kuona mengi. kwa uelewa wako finyu unaona nimekosea. lakini mm sio mwalimu wa kiswahili kama wewe. nahaisi unatafuta credit C ili ujiendeleze. sisi tumeshavuka huko. Labda nikupe elimu usije ukaumbuka tena. Lafudhi za...
Mh Joseph Pombe Magufuli mutu ya watu umefanya mambo mengi sana ambayo mengine hata halaiki ilishindwa kuamini kama ungeweza kuyafanya.
Umewasamehe babu seya na wenzake
Umewasamehe askari waliohusika kutorosha dhahabu
Umesamehe mahabusu zaid ya mia nne waliokuwa magerezani
Umemrudisha kazini...
Mh Joseph Pombe Magufuli mutu ya watu umefanya mambo mengi sana ambayo mengine hata halaiki ilishindwa kuamini kama ungeweza kuyafanya.
Umewasamehe babu seya na wenzake
Umewasamehe askari waliohusika kutorosha dhahabu
Umesamehe mahabusu zaid ya mia nne waliokuwa magerezani
Umemrudisha kazini...
Nakwende unaangaika na mambo yasiyokuhusu, nahisi utakuwa darasa la saba. maana ugeni au wenyeji hauna mahusiano na mada ya mtoa mada. Lakini umeshuparia sana. mnajua humu ndani unaweza kufahamika uwezo wako wa kuelewa jinsi unavyorespond mada. tuwe makini kwa hilo.
Acha kudili na mambo yasiokuhusu we angalia mada weka comment zako, ukiendelea kujibizana na huyo member itabidi tuitishe cv zako. Maana tutakuwa mashaka pengine ndio wale wale wa Magufuli.
DART ni wabadhirifu sana. wameua mfumo wa kadi kwa kuwa ni vigumu kuiba, tiketi wanaweka za kwao. Sielewi kwann serikali inawabembeleza katika hili la matumizi ya kadi. Matumizi ya kadi hayana longolongo. Nilikuwa Dar kw ajili ya masomo nilipata shida sana na huu usafiri. kuna wakati unaon bora...
Nimepitia, comment zote lakini sijaon hata mtu mmoja ambae ameonyesha nia ya au hitahji la huyo dada, kisa aamesema ana HIV. lakini kumbukeni hao mnaokutana nao kila siku hawajawaambia status yao. Ila mnakula mpaka chumvi.
Pia Njia za kupata ukimwi zipo nyingi mfano
Kuwekewa damu yenye virusi...
Hakuna exaggeration, rudi kwenye periodic table ya form two. kasome heavy metal na kwa nini zinaitwa heavy metal. Mtu mzima ana wastani wa kg 70. na kwenye gari wanakaa wastani wa watu sita ni kilo ngapi hizo. acheni utoto kwenye mambo ya msingi. kama hamjui tulieni tu. Chemistry mlikimbia...
The validity and reliability is very important in any research, whatever your doing in research you have to consider, because it can give the power to generalize the findings of research, how to address it is mandatory, how does your sample size could representatives, Triangulation of data and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.