Maximo pekeyake hawezi kubadilisha soka la Bongo. Hatuwezi kuwa na timu ya taifa endelevu kama hatutakuwa na Vilabu bora. Wachezaji wanaporudi kwenye timu zao wanapungua ubora! vilabu vibadilishe mfumo wa kuendesha mambo, wawe pia na timu za watoto na makocha bora la sivyo hata aje Morinyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.