Katika hali ya kufurahisha na kuchekesha pia wanafunzi watoro wafuatwa kwa bodaboda ya mwalimu mmoja baada ya mwingine na kucharazwa viboko walipofikishwa shuleni
hawa ndio aina ya waalimu tunaowata wenye moyo na uchungu kwa kazi yao au mnasemaje wadau?
ngoja nikupe ujanja kwanza angalia matokeo ya last year acsee ya hyo shule alaf ukiona kuna matokeo ya watu walosoma comb ambayo unaitaka ukiona nenda alafu ukabadilishe comb nenda a.level acha ujinga wewe
Nimeipata kutoka kwa mwanafunz anayetarajia kujiunga na kidato cha tano kuwa wanapigiwa simu kutoka shule walikopangwa na kuwataarifu waanze kuripoti shule kuanzia tarehe 22/07 na siotarehe 29 wanatumia namba walizoandika kwenye SEL FORM
je taarifa hizi zina ukweli ndani yake?
shule ipo rchuga na so mererani fulu ukame utanijibu 2 maj hakuna umeme jiandae na kibatari so fanced vumbiiiii high temprature kaa unaangalia utabr wa hali ya hewa unaonaga k.i.a ndo ipo karb jiandae kuoga mara moja kwa wiki au kama ulishaangaliaga bunge kpndi mbunge nasari akitoa picha kuhusu...
kama ataenda hapo ajiandae na blue bahar uniform na shat jeupe ila ngoja niendelee kukupa info. Last year walikujaga kupga frnd match na sisi dah wengi walitamani kubak xcul kwetu ila haikuwezekana waliyapenda mazngira
ila unatakiwa ufikirie labda kwa sasa washaweka miundombinu fresh coz sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.