Mkuu hapo hamna hata dawa ni wewe tuu ulikuwa over exited baada ya kuona mtoto mkali, kama alikuwa hataki wala asingehangaika kuhamsha dude kwa kunyonya, then inaonekana unapania sana as if unataka kumkomoa plus kutokujiamini. Cha kufanya ni hivi.. Jitahidi msipange kwa msisitizo sana kwamba...
Kama wanafanya hivyo wanakosea sana kiikolojia, kwa mtu anayejua maana ya national park... Hiyo sio national park na wanajidanganya, hakuna mtalii atakayeenda kuangalia wanyama kwenye zoo.
Ni ujinga wanafanya najiuliza kwani hawana wataalam wa ekolojia??? Wanyama wanatakiwa waishi freely to...
Cha ajabu Shetani mwenyewe hatakukubali, Shetani anapenda influential people sio kilaza kama wewe, kalime tuu ndugu yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana polisi. Ni kazi nzuri, lakini tusiishie hapo kwani ni dhahiri kuwa bado hatujajua sababu ya hao wauaji huko kibiti. Pia japo sio rahisi ila tunaomba tuongeze bidii zaidi kuwakamata na sio kuua tuu kwani tunakosa ushahidi, ni kweli, kama tungefanikiwa kumpata hata mmoja akiwa hai...
Naomba pia niwashauri watanzania, huu sio muda wa kulaumu eti nguvu inayotumika sehemu flani ihamishiwe kibiti.. Hapo sio sahihi hata kidogo. Serikali inawapenda watu wake na haiwezi kufurahi kuwapoteza siamini kama haichukue hatua stahiki. Tuipe moyo huku tukiongeza ushirikiano kumbuka tatizo...
Hivi najiuliza tuu, inawezekana kibiti watu wengi hawana simu.. Sina uhakika, pia inawezekana hamna mtandao mzuri wa simu za mikononi, niiombe serikali kwa kipindi hiki, mawasiliano ni muhimu sana, tunaweza kugawa simu kwa kila kaya, pamoja na muda wa maomgezi unaokuwa controlled kwenda kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.