Kawaulize waliotoa WARAKA watakueleza kwanini walimsifia Kikwete wakati ule na kumuita Chaguo la Mungu. Tatizo lenu kesho ukitoka WARAKA mwengine huko unakotoka basi mtarudi huko huko na kusahau mnachobwabwaja sasa hivi.:glasses-nerdy:
Nilishasema kuwa wengi wenu mlioingia upinzani uchaguzi huu mpaka majuzi mlikuwa CCM na hii inadhihirisha ninachokisema. You guys are newbies kwenye upinzani hivyo kuwa na fikra za kushinda uchaguzi kwa mbwembwe za kufurika kwenye Internet forum ni normal trend. Mwakani utatoka WARAKA mwengine...
Haya ni matatizo ya kujua masuala ya kompyuta ukubwani ama kuyajua hivi karibuni. Wengine tulikuwa kwenye stage zenu miaka 15 iliyopita hivyo tunajua vizuri wapi mnaelekea.
Na nyie ambao mnafikiria kuwa watu wanaweza kubadilisha mawazo ya wapiga kura kwa kusimama kwenye jukwaa la kampeni...
Next to picha ya Nyerere na familia yake, wekeni ile ya Slaa na kimada wake!
Huyo Mtakatifu ana madhambi mengi kuliko hata ya mafisadi. Kuanzia kuleta sheria ya detention, kujaza jela kwa wafungwa wa kisiasa, kuwa na wakimbizi wa kisiasa. Kupiga marufuku vyama vya wafanyakazi na kuwasweka...
Jipeni moyo. Lakini baada ya October 31, kutakuwa na vilio vya kura kuibiwa. Hakuna chama kitakachoshinda uchaguzi kwenye Internet. Nchi ambayo 75% ya wananchi wake hawana umeme, unafikiri kelele za kwenye Internet zinawafikia?
Alikuwa anawashauri mapadri namna ya kuwadonyoa vitoto vya Sunday school. Kama uligeuzwa kuwa ubwabwa wa padri, basi ujue hayo yalikuwa matokeo ya ushauri wake.
Upuuzi mwengine huo. Wakati wapinzani wanasusia matokeo ya uchaguzi wa 2005, huyo Mbowe wenu alihudhuria sherehe za kutangazwa matokeo rasmi ya uchaguzi pale Diamond Jubilee na alikuwa kimbelembele kwenda kumpongeza JK. Sasa analia eti hawatakubali kura kuibiwa? Acheni kujifanya nyinyi ndiyo...
Alikuwa mshauri for less than two years. Baada ya kuona ushauri hauzingatiwi akaishia zake. Sasa hapa tatizo liko wapi? Mbona alikuwa na anaendelea kuwa mshauri wa Museveni na huko wanafanya vizuri tu?
Ni uongo kudai kuwa Nyerere alikuwa Rais wa kwanza Afrika kuachia madaraka. Kulikuwa na Kaunda aliyekubali vyama vingi na kukubali matokeo ya uchaguzi na kuachia madaraka baada ya kushindwa. Si huyu aliyekuwa ana-control serikali mpaka kifo chake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.