Bunge likiahirishwa mpaka August wengine watapinga kwa mazoea waliojiwekea
ya kupata 300,000/- kil siku bila ya jasho. Kwa tabia ya binaadamu hata mfumo
wa matumizi yao ya kila siku wameubadilisha.
Siyo kweli mimi wiki iliyopita nilikua Zenj na nina driving
licence ya hapa Bongo nimeendesha gari siku zote 3 na
nimepata kuulizwa licence siku moja na askari wa usalama barabarani
nimeonyesha licence yangu ya Bongo na hakukua na matatizo yoyote
nimwruhusiwa kuendesha kama hapa Dar.
Hiyo habari haina ukweli wowote.
Kila raia anaeishi Zanzibzr haijalishi wa upande gani lazima awe na kitambulisho
cha Ukaazi hata Wazanzibari wenyewe wamepatiwa hivyo vitambulisho.
Fuatilieni kwa kina mambo ya Zanzibar bila ya kuleta uchochezi.
Wacha yawakute, wanapokua na hawa mabalozi wa Magharibi hua wanapenda kubwabwaja,
hawa jamaa wanakua kazini saa zote na kila mnachozungumza kinanakiliwa na ofisia wa ubalozi
wanaeambatana nao, wewe utaona yameisha lakini jamaa wanaweka katika kumbukumbu na
ndio hizo zinazoitwa diplomatic...
Tume ya Uchaguzi Zanzibar imetangaza majina 20 ya Wawakilishi wa viti maakum vya wanawake
kati ya hivyo CCM wamepata 11 na CUF wamepata 9. Ikumbukwe kwamba katika uchaguzi CCM wameshinda
majimbo 28 na CUF majimbo 24.
Chadema watafute kiongozi wa upinzani ambae atawaunganisha wapinzani kua kitu kimoja kama Bunge lililopita, na
atakaethubutu kumuuliza maswali magumu Waziri Mkuu kila Alhamisi asubuhi bila ya woga.
Upinzani ulio na umoja utatendakazi zake bila ya matatizo lakini kama utagawanyika matatizo...
AFRICAN LEADERS
Abdulai Wade (Senegal) age 83
Hosni Mubarak ( Egypt ) age 82
Robert Mugabe(Zimbabwe) age 86
Hifikepunye Pohamba ( Namibia ) age 74
Rupiah Banda ( Zambia ) age 73
Mwai Kibaki(Kenya)age 71
Ellen Johnson Sirleaf ( Liberia ) age 75
Colonel Gaddafi (Libya) age 68
Jacob...
By LEVINA KATO, 7th October 2010 @ 12:40
CCM Union Presidential candidate Jakaya Kikwete would have scooped 71.2 per cent of the votes if the general election were held last month while the six opposition candidates would have jointly obtained 28.8 per cent of the votes, according to Research...
Vipi wameweza kufanya sampling kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano na wameshindwa kwa
kumalizia na Rais wa Zanzibar. Lakini hawa jamaa niliwahi sikia walificha takwimu zao za uchaguzi
wa Rais wa Zanzibar wa 1995.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.