Nafikiri sasa umefika wakati ambao serikali inabidi ijitazama yenyewe , ili waondoke mapema kabla hawajaondolewa.Katika nchi yetu haijawahi kutokea wananchi kuukataa utawala kama inavyo ukataa utawala huu wa kinyama wa kinyonyaji kwa wananchi wake.Bora tuwe wakimbizi kwenye nchi yetu wenyewe...
MH, Pasco Bastola nayo ni bunduki ndogo ya mkononi au kwa kingereza wanaita 'Hand Gun' kwa hiyo isikutatize kwani watu wengi tumezoea Gobore ndio Bunduki.
AWALAUMU WATU WANAOPINGA MALIPO YA DOWANS, ATAKA MAHAKAMA ZIHESHIMIWE
Raymond Kaminyoge
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesema haoni nia ya dhati kwa viongozi wa ngazi za juu wa serikalini kupambana na ufisadi badala yake, suala hilo limekuwa likizungumzwa kisiasa.Viongozi wa...
Kichungu huonjwa
Kipya kinyemi ingawa kidonda
Hata 6 ilikuwa 9
utamu wa pipi mate yako
mtoto wa mwenzio mkubwa mwenzio
kukopa harusi kulipa matanga by Dr. Remy
Tajiri na gari yake masikini na watoto By Dr Remy
Anahusu!!!!!!!!
Umaarufu hauji kijingajinga namna hiyo! kukaa jela pasipo jambo la maana ni sawa na kulazwa hospitali ya rufaa ukitibiwa mafua kwa mtu mweusi. simuungi mkono hata kidogo , anaweza akawa ni mmoja kati ya wale wavivu wa kufikiri!
Membe yuko right cos Al-shabab sio wanaoongoza serekeli ya Somalia, Rais wa somali amelaani kitendo hicho cha serikali ya Kenya, Kimantiki Kenya haina mamlaka ya kuwasaka Al-shabab Somalia.Pili Membe ametumia busara bila kukurupuka. Mabomu yakianza kulipuka Kariakoo, Msimbazi, Feri na kujeruhi...
Hawa watu Al-Shabaab wako kila mahali hata mtaa uliopanga wapo tatizo wako kimya kwa sababu hawajachokozwa na serekali au kiongozi kuingilia mambo yao.
Tatizo nyie watu wa bara mnamambo! kama ngoma mpigiwe mcheze wenyewe Aseye wa unguja mlisikia lini tumeandika warka! tunashangaaa? sasa kama zogo lenu wenyewe sie wa visiwani latuhusunini? MI NASEMA TENA NASEMA NAMUUMNGA MKONO ALIYESEMA MWISHO CHUMBE! TUMEWAVUMILIA WA BARA SASA MNATAKA KUTUTIA...
Hili swala la muungano na comoro si geni hata kidogo, waliwahi kumuomba Mwalimu miaka ile ya sitini tuungane kama ilivyo Zanzibar lakini Mwalimu kwa Kuona mbali alikataa akawambia wao wako mbali mno kijografia na Tanganyika mainland enzi hizo, akawaambia utakuwa si muungano kihalisia ila Comoro...
Lakini hapa kwetu si unaona wagombea wote wa urais wa upizani wameombwa na wapigakura wao , wanachama wao wakagombee ubunge kwenye majimbo yao, ina maana tiari raisi wanae anae wafaa na chama kinacho wafaa! kwa sababu asilimia 82% za JK zilipigwa na watu wote wa CCM na Wa vyama vingine tiari...
Hallo mkuu!
Pamoja na maandishi yako mareefu kuhusu SULTAN CCM sijaona ni mantiki gani uliyotumia kuona hao wnajeshi walio amua kumuondoa kiongozi aliyechaguliwa na wengi yani kidemokrasia na kumuweka mpiga disko wao wa zamani DJ hainiingii akilini hata kidogo. kwanza katiba yetu hapa...
Huyu Masha ni fisadi hafai kashapenyeza kakampuni kake anataka awini tenda sasa kikampuni chake hakina sifa ya hiyo tenda ndio anaanza kuwa mapepe namna hiyo!
HIVI KWA MTU ANAETUMIKIA TAIFA KWA MASLAHI YA TAIFA , HAWEZI KUWA NA MAWAZO KAMA YA MASHA , HAWA NI WATU WALIOINGIA NDANI YA CABINET ILI...
Mimi naona kama mtu anapotetea kitu kwa maslahi ya umma na taifa halafu wapinzani ambao nao wanajipaka mafuta kwa mgongo wa chupa kuwa wanatetea maslahi ya taifa wanaanza kuteki advantage kwa sababu tu Pinda hakufuata Katiba hawana la msingi ila kufurahisha baraza. Pinda Kama Waziri Mkuu lazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.