Tanesco kwanini hamjibu suala la upatikanaji wa mita za three phases? Tumelipia muda mrefu, tatizo nini? Serikali inahimiza nchi ya viwanda Tanesco mita za umeme hazipo!!!
Acheni fikra za kibaguzi kwa hao wahindi sio watanzania? Hizo nyumba zilikuwa zao na Nyerere hakuwatoa kwenye nyumba hizo baada ya kuzitaifisha mwaka 1971. Soma historia na pia soma sheria ya utaifishaji wa majengo hayo (the Building Acquisition Act, 1971) ili kuelewa zaidi.
Acha ubaguzi kumbuka hizo nyumba zilikuwa za hao hao wahindi na baada ya acquisition serikali iliwaacha kama wapangaji. Nenda shekilango, keko, tandika Kama utakuta mhindi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.