Hiyo ni sawa na kuloga tu.(unapomtumia mtu jini ni sawa na kumloga) mtu anaeloga anaitwaje...
Mtu wa mungu tena unatumia neno "kwa jina la yesu..." ili kutilia mkazo kwa jini hilo dah.
Nnapata mashaka kidogo na imani hii.
Kakosea sana.hii ni ishara kuwa huenda mama alipangwa akasahau akasahau...
Kiongozi ni mtu anayewaongoza watu ktk sehem au ktk mazingira flan ma huchaguliwa na watu.
Muongozaji ni huyo kiongozi anapofanya majukumu yake ya uongozaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.