Mi mwenyewe nina hili tatizo...
Baada ya kuoa yaani nimekua mzito sana kucommunicate (sometines i feel like a loner...) hasa upande wa wife tho nawapenda sana ndugu jamaa na marafiki... kinachosaidia ni group za whatsap kukeep in touch.... ila nomeloose sana conections na marafiki.
Verse 1}
Yanaanza kama safari twende folani ukaone,
Kumbe yana nguvu ni hatari ukishanasa ndio uponie..x2
Mungu aliumba dunia na Maajabu yaake
Ya mwenzako sikia omba yasikupate, eeih ..x2
{Chorous} x2
Nyie Mapenzi yanauma (Kizaizai)
Yanaumiza (Kizaizai)
Oooh kizunguzungu jamaa mapenzi mabaya...
Nilishaletaga hii topic humu
(
www.jamiiforums.com/threads/mke-wangu-hatoi-penzi-ananipangia-ratiba-kwa-wiki-mara-2.977438/#post14701155 )
Ila kwa experience nimegundua mwanaume hakupangiwa kuwa na mwanamke mmoja "biologically".. huo ni mtazamo wangu sio sheria.
Nashukuru tatizo limeshapata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.