Habari!
Natafuta nafasi ya kufundisha katika shule za sekondari kuanzia muhula wa pili wa masomo yaani mwezi wa saba, nategemea kupata shahada ya kwanza ya ualimu mwezi huu.
Masomo ya kufundishia ni KISWAHILI na HISTORIA.
ka =hutumika katika udogoishi,mfano kasichana kazuri kamepita, KI hutumika kama kiambishi cha ngeli ya 4 ya KI _VI mfano kitabu kile kimechanika,pia ki hutumika kama kionyeshi mfano kisu kile,pia KI hutumika katika ukubwaishi ,mfano kiazi kikubwa,pia KI huonyesha urefu wa kitu,mfano kiatu...
nimewahi kuhudhuria semina zao ,kiukweli ni biashara nzuri ukijituma kwani unaweza kulipwa kuanzia 150000,300000,600000,1000000,3000000 N.K kwa mwenzi , ila kiingilio chao ni kikubwa kwani ni 750000 Kama unauwezo wa kushawishi watu nakusihi ujiunge.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.