Ninataka kuanza mradi wa kufuga kuku wa mayai ninatafuta mtaalamu anayejua naman ya kulisha na kujenga mabanda yao. Naomba awasiliane nami kwa no.0713 68 96 65
duu uko mbali sana mimi ninacho niko dar kimekaa tu baada ya kununua cha azam ila kama utapata mtu wa kumtuma aliyepo dar wasiliana nami no. 0713 689665
Nilituma mtu kuninunula washing machine, lakini kwavile ni binti hakuelewa namna ya kutumia. Ipo user manual ila nina shida ya kuona maandishi madogo. Naomba mtu tupatane nae nitampa nauli na kuja kwangu na kurudi na ka asante ili aje anielekeze namna ya kutumia. Hakununulia duka la mjini ni...
Jamani nami ningependa kujifunza kifupi nime ply hiyo video ya training lakini ninataka niiweke kwenye computer yangu nitafanyaje naman ya kuiweka? Nisaidieni jamani
asante
Ipo jirani na njia panda ya kwenda tcc club, inatazama bara bara kuuu ya changombe
ina floor tiles na mlango wa aluminium
ina ukubwa wa kutosha duka la chakula, dawa na duka la nguo.
Kodi ni nafuu na nzuri sana na mkataba unaweza kulipa wa miezi sita.
Wasiliana na 0713 68 96 65
Jamani ninaomba msaada wa mtaalamu wa wanyama ili anisaidie kitu gani kitawazuia paka wa jirani kuingia kwangu.
Paka hawa huingia kwenye fence yangu na kukesha wakilia nyuma ya nyumba yangu, imekuwa ni kero kiukweli.
Naomba msaada nitamlipa akinifanikisha.
Asanteni kwa ushauri
Kaka samahani vipimo sina na picha ukipiga sidhani unaweza kuelewa labda nipe muda nikaulize mtu anipe vipimo.
Ila naona vyema ukaja ukaona kwa macho
ASANTE NA KARIBU
Fremu ya biashara inapangishwa ipo barabara ya changombe jirani na njia panda ya kwenda tcc club. Jirani na maduka mawili.
Inatazama barabara kubwa ya changombe, temeke.
Ina floor tiles nzuri na mlango wa aluminium na ni kati ya fremu nne ambao zina watu tayari. Kodi ni 115,000/= kwa mwezi...
Fremu ya biashara inapangishwa ipo barabara ya changombe jirani na njia panda ya kwenda tcc club. Jirani na maduka mawili.
Inatazama barabara kubwa ya changombe, temeke.
Ina floor tiles nzuri na mlango wa aluminium na ni kati ya fremu nne ambao zina watu tayari. Kodi ni 115,000/= kwa mwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.