Tumsifu Yesu Kristo, nawaomba mniombee jamani nipate kazi wakati wa kusali na kuomba kwenu, nimemaliza shahada ya maendeleo ya jamii mwaka 2010, hadi leo sijapata kazi. ninapigana kwa hali yote lakini namini Bwana Wetu Yesu Kristo atatenda maajabu juu yangu na familia yangu, kupitia maombi yenu...
Jaman jambo msilolijua msibweteke, ktk majeshi wapo majeshi ya kimataifa, wapo wa EA na askar kanzu, ktk hao wapo wanaotmia namba yeyote, mf. Wapo wanaotmia DFP, T285 ADM,TP Na namba za umoja wa mataifa. Kwahyo namba za usajali wa gari zisiwachanganye wakuu
RPC wa moro hawezi kujiuzulu ngo? Padre wetu zanzibar iweje? Arusha iweje? Tatizo waislam wengi hawajasoma ndo maana wanalalamika kila siku haki, haki, na RPC moro akijiuzulu au kubadilishwa kituo ndo nitajua raisi Kikwete ni mdini,waislamu wanabebwa lakini hawabebeki jaman?
Tatizo la watanzania weng kweli hawapendi kuchoka na kukubali mabadiliko ndo maana hata hatubadiliki, cha kushangaza sana ni vjana ndo wanakata tamaa na kukubali mabadiliko, naona vijana hapo wanakataa tamaa kwa mambo muhimu, lakini kujiunga na facebook, atangangania hadi ajiunge. Tubadilike vijana.
Said mwema ni jembe la ukweli, amejitahidi sana x2, nakuunga mkono kamanda kwa maamuz sahihi, we pumzika ni umri wako wa toba, tenda mema sasa, usiwe kama wengine wamengangania viti while vijana hawana ajira, kweli mwema ameliendesha vzr jeshi la police, kma ni maudhaifu kwa binadamu na nature...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.