Search results

  1. N

    Kwa dhuluma ambayo Jakaya Kikwete alimfanyia Mzee Lowassa, ataumaliza uzee wake bila amani

    Jambo la Msingi ni kumuombea heri marehemu, lakini hizi ngonjera za uaminifu, sijui usafi, upendo nk nk ni yeye tu ndiye aliujua ukweli wake. Urais ni haki ya Mtanzania yeyote mwenye sifa na hakuwa na hakimiliki ya nafasi hiyo, hivyo kukosa kwake ni sawa na wale wengine walioukosa.
  2. N

    Udanganyifu wa mitihani nchini una historia yake

    Moja ya habari kubwa kila yanapotangazwa matokeo ya mitihani ya kitaifa huwa udanganyifu unaofanywa na watahiniwa, hii ni kwa darasa la nne na Saba, kwa elimu ya msingi, kidato cha pili, nne na sita kwa elimu ya sekondari na hata kwenye vyuo vya taaluma mbali mbali. Ni takribani siku kumi...
  3. N

    Kesho ya nishati yetu Tanzania ipo baharini (Sehemu ya Kwanza)

    Nilivyoelewa article, wameonyesha chanzo kingine cha uzalishaji umeme safi ambacho ni rahisi lakini kitazalisha umeme mwingi zaidi kuliko vyanzo vyote vilivyopo
  4. N

    Kesho ya nishati yetu Tanzania ipo baharini (Sehemu ya Kwanza)

    Moja ya ugonjwa wa nchi hii ni kutochangamkia fursa zilizopo kwa wakati muafaka, ajabu hatua huchukuliwa wakati tumepitwa na mabadiliko ya teknolojia. Tulizembea kwenye uzalishaji umeme kwa kutumia mkaa wa mawe, ikaja oil and gas, na sasa upepo, hapa ni nchi kavu na baharini kote fursa zipo...
  5. N

    LATRA: Treni za Mwakyembe hazikidhi viwango vya kutoa huduma ya usafiri licha ya kuzidiwa na wingi wa abiria

    Nchi ya ajabu sana hii, badala ya kuitumia treni hiyo kama pilot project inayowapa majibu ya kuwepo mahitaji makubwa kwa huo usafiri jijini, wao wapo kupiga siasa. Heri hizo njia za mwendokasi kutumika kama miundombinu ya usafiri wa treni kuliko hayo mabasi.
  6. N

    Majanga ya Asili: Tukafanye utafiti kwa Wahadzabe na wanaofanana nao ili tufahamu jinsi wanavyotambua majanga haya kabla hayajatokea?

    Upo sahihi sana Paschal, indigenous knowledge ni muhimu sana kwenye kutafuta majawabu ya hizi natural disasters.
  7. N

    Kwani CHADEMA inahitaji back up ya waislam ili kwenda ikulu?watuachie uislam wetu wafanye siasa zao

    Kweli nyani haoni kundule, hivi mnywaji wa ile "maziko saa nane" kule Zanzibar nani hasa!!!
  8. N

    Yaliyojiri: Mkutano wa Dr.Slaa Kyela

    Kweli mzimu wa Zitto unawatesa sana CDM hadi kughushi picha, kazi ipo!!
  9. N

    Lazaro Nyalandu: USA inataka niwe rais wa Tanzania 2015

    Sasa nimeelewa sababu za haka kajamaa kuwa na lobbyist Marekani, anatumia fedha za walipakodi kulipia kampuni za kumfanyia connections USA, kazi ipo!!
  10. N

    Kwa CV hii ya Waziri wa Fedha- Tutegemee Kuporomoka zaidi kwa Uchumi Wetu

    Mkuu, Hiyo inawezekana kabbisa, anamaliza 1995, the 1996 anajiunga kwa diploma au cheti then diploma, vyovyote vile inawekana, the baada ya masomo ya chuo anafanya kazi hazina kama afisa, hivyo inawezekana masters akafanya 2000-2002. Hapo kumbuka kuna majukumu ya familia na mambo kama hayo...
  11. N

    Wassira amjibu Lazaro Nyalandu!

    Just a play boy. Naibu Waziri anayekuwa na lobbyist US!!!
  12. N

    TOKA MBEYA mpaka ARUSHA(HONGERA BWANA JUMA IDD)

    Mbeya imekanyaga kinyesi kwa kumuendekeza fisadi Kapunga, Arusha wakitulia jamaa mzuri sana, ila watendaji wezi wajiandae, hapo hakuna ujanja ujanja, watendaji waadilifu watampenda, Arusha wakiachana na siasa wakaangalia maendeleo watashangaa kuona mapato yakiongezeka maradufu. Uzuri wa Iddi...
  13. N

    Katibu wa Bunge Dr.Thomas Kashililah atolea Ufafanuzi Swala la Mhe.Freeman Mbowe.

    Kashililika naye tatizo tu, kwani aliyetoa hizi taarifa za kukatishwa safari kwa huyo Mbunge ni vyombo vya habari au ofisi yake mwenyewe iliyosambaza mawasiliano yao na Mbowe!!!!
  14. N

    Wazanzibar muungano tutaununua...

    Ukitisha kura ya maoni leo hii, zaidi ya asilimia 70 ya Watanganyika watahitaji serikali tatu au kuvunjilia mbali muungano na hardly 50pc ya Wazanzibari watahitaji serikali tatu au kuvunja muungano, inayobakia itahitaji serikali mbili. Huu ni mtazamo wa mwanazuoni mmoja nikiwa katika mazungumzo...
  15. N

    All Norwegians become millionaires as oil fund balloons!

    Katika sera iliyotolewa Okt mwaka jana, suala la kuanzishwa huo Mfuko lipo kwenye sekta hiyo ya gesi na mafuta. Pamoja na huo mfuko pia inazungumzia kuanzishwa kwa Kampuni ya taifa ya uchimbaji gesi ambayo itakuwa kadiri muda unavyoenda, ni utaratibu uliotumiwa na Norway walipoanza uchimbaji...
  16. N

    Mheshimiwa Mbowe Wachana na Hizi Tunza Heshima Yako Jiuzulu Tu! Waachie Wengine Uongozi Imetosha!!

    Kesi za kashfa ni zaidi ya hapo, mdai atatakiwa kuthibitisha alivyochafuliwa na thamani yake katika jamii, na mdaiwa naye atatakiwa kuthibitisha ni jinsi gani jamaa asivyo na hiyo thamani anayodai kuwa nayo. Hapa ndipo kimbembe kilipo, kwani mdaiwa anakuwa na uwanja mpana zaidi, na ili...
  17. N

    Zitto: Namsubiri Mbowe Mahakamani

    Mbowe anazuga tu, hawezi peleka pua yake mahakamani kwani anafahamu atakavyoumbuliwa. Ugumu wa kesi za kashfa unatakiwa kuthibitisha usafi wake, na unaowashitaki wanathibitisjha uchafu wako!!! Hii mbinu tu ya kufifisha mjadala wa usanii wanaoufanya, kuwaaminisha Watanzania kwamba wao ni wasafi...
  18. N

    Majibu ya Waraka wa Manyerere Jackton na Pasco wa JF, kuhusu yanayoendelea CHADEMA

    Mkuu Bethelehem, Huwezi jibiwa kwa hoja bali utajibiwa kwa matusi!!!!!
  19. N

    Manyerere Jackton: CHADEMA, ruzuku iende mpaka ngazi za chini

    Acha kudanganya watu wewe, zinaenda wilayani wapi, watu huko wanatumia resources zao ni kujitolea tu na kutumia rasilimali zao.
  20. N

    Mpango mzima wa kuihusisha CHADEMA na ugaidi mpya huu hapa

    Mtoi, Nimesoma na kurudia mara mbili, bado siuoni uthibitisho wa kutengezewa hizo kashfa za ugaidi, ninachokiona hapa ni hisia zenu tu. Unapokuja na allegations nzito kama hizo uthibitisho ni muhimu sana, lakini narration pekee haishawishi. Pili, leo mnawanyoshea vidole vidole waandishi wa...
Back
Top Bottom