Wadau ambaye anauzoefu wa Zao hili la VIAZI MVIRINGO tafadhali nisaidie kujibu na kunipatia taarifa zaidi kutokana na maswali yangu nitakayouliza hapa chini, lengo niweze kufahamu nini kinahitajika na nianzie wapi.
1. Baada ya kuandaa shamba, Ni mbegu gani nzuri zaidi?
2. Je, hekari moja...
Je, IGP Siro kutamka na kusisitiza neno haki linaendana na Namna Jeshi lake linavyotenda kazi?
Naamini anajua na anatambua wazi ni jinsi gani Jeshi lake lilivyo mstari wa Mbele kutoishi neno HAKI, Jeshi linaloongoza Dhuruma, uonevu na matendo yote ya ajabu.
CCM hata kama mnataka kuiba kura term ijayo kama kawaida yenu, jitaidi muwe mmeweka na watu competent katika kutetea maslahi ya nchi kwa ujumla, sio mnatuwekea watu kama kina Babu Tale, et al.
Au huyo anayemsema mayele kutetema na wengine wengi tu.
Hamna anayeijua Forex, then aache kutrade. Kwasababu most of retail traders ndio hao unawaona wanakurupukia soko, and pro traders ni wachache sana, you need Time to be a pro.
Find knowledge kuhusu Fx, soma sana find strategies na hapa watu huwa wanafeli, wanaingia sokoni then anahisi tayari within a day amejua na anaweza kusell or kubuy ila kujua why, he or she is doing so, kwahiyo find knowledge and you enjoy.
Anyway forex sio gambling ulinganishe na sportpesa
Binafsi Biashara ya FOREX, naisemea kwamba inahitaji uijue wewe mwenyewe kwa kutafuta knowledge yake na kuelewa ni nini unafanya uingiapo sokoni
1. Weka Trading Plan
2. Acha Tamaa ya kutaka kutajirika within a day
3. Usitegee Signals kwa mtu
4. Uwe na muda wa kutosha.
Jibu swali uliloulizwa maana umejibu kitu ambacho ni out of topic, huu ndio ubaya wa Tanzania ujuaji mwingi sana and nani alikuambia ukishindwa wewe kitu na mwenzako atashindwa, ujuaji mwingi sana.
Anha hapo sawa kwa hiyo kuna wanafunzi tofauti wa chuo cha songea na tawi la udsm.. Hapo nimekupata mkuu Sasa madaktari Kama hizo tuhuma ni zao wamezingua maana uwezi kuomba rushwa ya ngono ili mtu afaulu haileti maana...afu Mbona vyuo vingine Haijawai kusikika..na hilo tawi la udsm na chuo cha...
Mwifwa,
Sawa sawa na amini kuna team itakua imetumwa na wananchi tutapata taarifa tu nini kinaendelea...maana huyo anayeonesha ndani ya pazia sijui anataja wanafunzi wa chuo kikuu cha dar es salaam Mara sijui wanafunzi kutoka songea...na baki najiuliza wanafunzi kutoka songea na chuo kikuu wapi...
Basi ni hatari Sana...naona taarifa imefika wizara ya Afya...na inahusu intern....hapo Itabidi uchunguzi ufanyike Kama walianza kulalamika wanafunzi maana yake kuna kitu kinaendelea tu...sio bure walianza wanafunzi Halafu walalamike na hao sijui interns
Aisee ni taarifa kumbe ambazo kuna watu wanazisambaza.... Maana Jana nimeona taarifa ya habari nikajiuliza huko Mbeya kulikoni tena jamani....sasa wanaosambaza wanafaidika na nini...hii Dunia basi tu
Siasa how? Kwamba chuo kinataka watoto wamaskini wafeli tu hivi hivi..maana udsm ni miongoni mwa vyuo Tanzania chenye idadi kubwa ya watoto wa maskini wanaofika chuo na kujifanya wametoka familia tajiri...halafu wanasoma kwa kuzembea na kusahau...udsm ufata sheria na hawana mchezo na mtu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.