nakuunga mkono mama anauwezo uliza mtu yeyote aliye wahi kwenda kusahisha mtihani wa taifa wakati wa uongozi wake. hakukuwa na masihara na pia kuwa necta anaijua elimu yetu vizuri kuanzia msingi hadi a level kupitia majukumu yake pale necta. Elimu ya chuo nayo anaijua vizuri kwa kuwa muhadhiri...
"liwalo na liwe " Mizengo Pinda 27 juni 2012 kwenye bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania
"Sasa hata hatujazungumza wameanza kutangaza mgomo, sasa afadhali tuzungumze kwanza maana mgomo una kasheshe zake, mkigoma hamtaachwa, askari watawapiga virungu na hata wengine kuweza kupoteza maisha...
Dr Balali alikuwa na PHD na marehemu rais Samora Matchel wa Msumbiji alikuwa na elimu ya kawaida hebu linganisha hao wawili...La muhimu ni utumishi uliotukuka mwisho fuatilia elimu ya Abraham Lincolin na Jacob Zuma
Raisi aongee tumskie anapinga usishangae badae akisema mimi sikuwaagiza kurugenzi ya mawasiliano bada ya kusikia mziki wa wabunge mbona nilisha saini toka mwaka jana
Hajamaa hawapo makini katuma ujumbe wa kwanza una waziri na naibu wizara ya afya na waziri wa utumishi wa umma kaja Pinda na ujumbe una waziri afya,ulinzi ,utumishi na mambo ya ndani. Mgogoro unahusu masilahi lakini kwenye mazungumzo waziri wa fedha hayupo .Matokeo yake badae waziri wa fedha...
wachina wa siku hizi sio kama wa wakati wa Mao kwanza ndo wnaongoza kwa migogoro ya ajira in short wanyonyaji rais Sata wa Zambia alishasema atawafukuza akichukua madaraka .Tusubiri tukiwa na uwezo tuchimbe wenyewe nenda China kama watakupa hata 1%
alifanya madudu pale wizara ya afya alipoondoka walifurahi waulizeni watu wa wizarani ikabidi aletwe mama Nyoni kuweka mambo sawa hadi sasa mama Nyoni anahangaika na madudu yake ,Je CCM ataiweza ? pia ni mshikaji sana wa JK kama kawaida yake ushikaji mbele
kwanini hawajatumia ukumbi wa CHIMWAGA UDOM na NKRUMAH UDSM hii ingesaidia watu wengi kushiriki hapo bungeni kuingia ni balaa hadi upite hizo security checks umeshasahau point zote sababu ya usumbufu wa askari na karimjee inaingiza watu wachache sana kweli naona nia ya kushirikisha watanzania...
kwa hiyo maamuzi ya kumkataa Kikwete hayakupitishwa na kamati kuu ya Chadema ? uamuzi wa kumkubali umewahi mchakato wa katiba ungeanzx at least sa hivi Chadema inaonekana chama kisicho na msimamo.Mabadiliko lazima yawe na gharama kwa kuchekeana kATIBA iliyoboreshwa sahau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.