Ila mazee kama alimix midume mieili kwa space ya hours of which many ladies can hata yeye inawwzekana alikuwa hajui akaona ambandike anaeona atamlea poa dah!!
Ninamashaka na huyo roho kama kafunuliwa au atakuwa amefunikwa kabisa. Si poa kucomment issue za kisiasa ukijua kabisa kondoo ulio nao wana itikadi tofauti. Hapo tayari kutakuwa na roho zinazoumia na kujicontradict na kile kiongozi wao wa dini amesema na kuna hatari kondoo watatawanyika maana...
Mimi sipendi mambo haya ya Udini atakaekuja na hayo simptatii kura yangu. Kumbukeni hili ni Taifa lenye watu waliochanganyikana sana tu. Wakristo na waislamu wameoana wengi tu tuna ndugu tena wa karibu kutoka dini nyingine sasa mnataka kusema nini humu? yeyote alieegamia ukristo ama uislam mm...
Kaka sikia ukiina kafikia vigezo vyako beba maana watu wa kando kila mtu atasema Lake na wanaokuwa negative ni kutokana na matatizo yalio wakumba wao. Haya mambo hayana formula u make ur own. Wengi wakibadilika hutegemeana saanaa na wewe mwenyewe. Ukichange jiandae ne yy atachange fastaaa!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.