Ndio vizuri ajue ni kiasi gani sisi wamachinga tunakula vumbi kila siku ili wakiingia ikulu wajue ni jinsi gani wanaweza kutugaiya mapesa na sisi tutoke juani,,,
ccm haing'oki madarakani acheni wehu wenu hapaa,, tuweke na akiba ya maneno ,,,na wala suala la wizi wa kura lisije tuletea fujo buree hapa nchini...
Ukawa hamjitambua hataa,, sasa hivi wengine wenyeviti wazima jukwaani hawajui waongee NCCR au NLD wao ni peopleeeeee pesaaaaaaa.......
Situliambiwa ukipewa hela kula na kura yako utaamua umpe nani...
siasa zenu za jamii forum mtaisoma namba tuu,,,lowasa hana chake si CCM wala ukawa..
tupo hapaaaaa
CHADEMA wapiga pesa tuu,,mbowe keshapata mgawo wake akatoka mapovuu kumsafisha lowasa mpaka kimeeleweka duuu,,,ama kweli njaa sio kitu cha mchezoo,,,
uwasa tena chadema ??/
Na siasa hizi za kukurupuka ni sheedaah... wasubiri kwanza mgombea toka ccm ndio wao wachukue ,,,,cjui,,,
namuona lowasa kaja kujisafisha tuuu baada ya kuonekana hafai kitu kwenye ccm...
sasa baba paroko atamwachia huyu mkkt?
Nilisikia kuwa mheshimiwa Mbowe mkewe ni phd holder ..sasa hii haiwezi kusaidia kuongoza kwa mawazo ya mkewe?
Mana wenzie wakati wanasoma Mheshimiwa Mbowe yeye alikuwa ni kiranja wa wapiga disko...cjui kama mnakumbuka hii vizuri..au niweke picha yake hapa???
Mbowe kukosa kuwa mkwe wa mzee tei...
Yani kuna mambo mengine yanahitajipia matizi ya akili ya kawaida tuu..sasa kuna kundi lilisubiri kuambiwa kapigeni kura ya hapana nao wamekubali bila hata ya kusoma hiyo katiba..mbona kiongozi mmoja wa dini fulani amesema uamuzi wa ndio au hapana ni wa utashi wa mtu...
Naamini ndio maana saa...
Mi huwa nakumbuka mara ya kwanza alivyotaka kuninyonya penis. Basi wacha anikwangue na meno yake, nimetoka kwenye game p.nic utafikiri imepigwa bomu,kweli cwezi sahau kamwe
LOWASA angetufaaa sana ...tatizo ni afya yake mgogoro siku za karibuni.
Mbowe HAPANA. KABIXAAA
Warioba No
Lisu atachuana na Edo ila kula hazitamtosha
Dr Slaaa.... yeye akaungame dhambi zake kwanza ....(Zinaa)
Kuna mzee mmoja wa Lumumba kasema CCM bado miaka kumi tuu,,, sasa sijui ana maana kuwa ni 2015 - 2025?
Yaani tuwe tunasubiria tuu mpaka 2025,,,, Tutafakarii..,,,
Tuliongeleeni suala hili kwa tahadhari kubwa sanaa,,, watu tuisome katiba kwanza tuielewe ili unapokataa muda wa marekebisho ukifika ujue ni kitu gani hasa unahitaji kirekebishwee,
Ni mtizamo wangu tuu lakini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.