Hapa kuna mashaka maana kama lengo ni ushauri hizo habari za land cruiser v8 zinatokea wapi?na kama una gari ya piston nane unatumia iweje uulizie ushauri wa subaru turbo wakati mfuko wako unaruhusu kumiliki v8! Unaonekana unapenda sifa sana na nadhani lengo lako ni kujitapa na si kuomba ushauri...
Nunua hyo gari ni nzur na ina space ya kutosha. Nimeitu.ia mwaka wa tatu sasa na nilishasafiri nayo dar mwanza mara tano nenda rudi ni haikuwah kunisumbua hata. Nilishasafiri nayomwanza tanga frm 0600asbh nilipoiwasha nikaja kuizima saa nane usiku baada ya kufika tanga lakini bado kinanda...
Mnawe uso muone matukio hizi ni nyakati za mwisho allah kawaulize waarabu watakwambia maana yake nini. Mambo ya kutaka umaarufu kwa kuharibu na kukashfu imani za watu yamepitwa na wakati waislam wanaamini torati na mitume wote waliopita mpaka yesu mtoto wa mariamu. Hao wachungaji wanatafuta...
Sio mashoroko mageni NI mashokoro mageni yaani mambo YA kisasa, mambo mapya AU hata kama ukiwa unashangaa shangaa kitu waweza ambiwa mashokoro mageni kwako! Walah wala msi mponde kama kasoma NI bidii yake binafsi muacheni ajitape atakavyo. Ksma wewe hujataka kutsngaza elim yako piga kimya, bora...
NADHANI huyo askofu amekurupuka na hajui maana na dhana YA kuanzidhwa kwa hicho kikundi. Cdm NI vizur waandar press conference na kutuambia malengo na madhumuni YA kikundi hicho
nitaftie hyo sa 7m altezza ukiipata iliyosimama.nitakupa 1.5 wewe jumla nanunua kwa 8.5million. kama hujui magari kaa kimya AU waulize wenzako, kwa bei yako YA million Saba kanunue Nissan march AU vits AU duet zikuchomokee magurudum YA nyuma kabla hujafika kwenu marangu
Kwanza mbunge hawezi kufungiwa kuingia bungeni siku tano, anatakiwa kutolewa kikao kimoja tuu hapo Ndungai kateleza, pili kuomba muongozo hakujaainisha kila mbunge aombe mwongozo Mar moja AU tatu, NI kwa kadiri YA aonavyo mbunge kuwa kunahitaji muongozo, alafu wale waliotukana F......ck you...
TBC NI MAMBUxxxxxx la wanafadhiliwa na serikali na NI kituo cha serikali ndio maana wako kwa maslah YA ccm na kamwe hawawezi kuja kuonesha habari zinazoichana gvt, angalia campaign ZA CHADEMA M4C, linj walishaoneshaga?
Hivi aliesema ---- you, aliesema siongei na mbwa naongea na mwenye mbwa na aliesema kuna watu wamepewa mimba zisizotarajiwa hao wote NI CHADEMA? Kumbe ndio maana mnataka BUNGE lisiwe live ili mpotoshe Ukweli maana hata sasahv tunaona live bado mnatudanganya kama hatuoni, sio CHADEMA ndio CHANZO...
Mabadiliko NI MiMi na wewe mambo magumu sana nchi hii inamaana hata wasafiri wenye magari walishindwa kufanya mchakato hata wa kuvuta hyo gar kwa minyororo? Hatuna uzalendo hata kidogo na hatuna utu kabisaaaaa tunajali tuu Pesa, serikali bom feki na zembe inatilia mkazo mambo yasio YA maana kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.