I know this guy. He is a very good guy. Mwaka jana tu kampuni ya Shanta Gold walimchukua kutoka Barrick na kumuahidi pesa nzuri tu. For a short period ambayo alikuwa hapo nimeona jinsi alivyokuwa ana-tetea maslahi ya Geologists watanzania na nadhani hawa mabosi wa shanta hawakuipenda hiyo ndo...
Hivi nikihitaji five doors ya early 2000s with not more than 100000kms na ambayo haijatumika hapa Tz but imetumika lets say Japan bei yake ni sh ngapi?
Hapa kazini kuna mzee mmoja wa kiislamu kaniambia eti leo waislamu wanaandamana ili kipengele cha dini kiwekwe kwenye questionnaire za sensa mwenye uhakika juu ya hilo atujulishe.
Habari wana jf,
naomba kuuliza hivi inawezekana kwa mtanzania kumiliki hisa katika masoko ya hisa nje ya mipaka yake? tuanzie hapo halafu nitauliza zaidi
Nimejaribu voda ime-comfirm kuwa nimesajiliwa lakini tigo inakataa, inarespond kwa sms kuwa niandike jina langu na namba ya fomu nitume kwenye 106. Jina halina neno tatizo ni hapo kwenye form maana nilisha-misplace.
Inaonyesha tulifanya kazi ya bure kwenda kupanga foleni na kujisajili kwenye...
Ni kweli kabisa mkuu,
Namfahamu mmoja aliyekuwa Hg somewhere na mtoto wa mwajiri akampenda, wakaoana na sasa wana watoto watatu mmoja anaitwa Rachel. It's one of the happy and lovely families here in dar, actually i admire them.:A S 103::dance:
Habari za leo.
Naomba mwenye uelewa juu ya gharama za uagizaji wa gari kutoka Japan. Information nilizopatiwa kuhusu gari yenyewe ni kama ifuatavyo:
Mode: Nissan Wingroad
Year: 2000
Kms: 92,000
Engine: 1.5
Trans: Automatic
FOB: US$1,500/-
Tafadhali naomba mwenye kufahamu...
Nimeona hata nyimbo za kiswahili wanaimba isipokuwa lugha inayotumika pale na majaji hata washiriki wenyewe ni Kiingereza. Nafikiri msimu mwingine kama ingewezekana wangehamisha venue isiwe nchi ya Kenya; waweke Uganda, Tz etc kuwaamsha watu wa nchi hizo. Ni maoni na mtazamo wangu
Hope he understands. Mungu anakupenda sana hivyo sifa na utukufu na hata hiyo kumbukumbu pia ni ya kukumbuka jinsi Mungu alivyoonyesha Ukuu wake katika maisha yako.
Barikiwa.
Ama kweli huu ni upuuzi mwingine kama ulivyosema. Hakuna mtu asiyejua kuwa huwezi kupata Petrol mahali popote bila na kuwa na 1440 - 1550.
Shame on you EWURA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.