Zichungeni shilingi,bajeti inazotoa,
Matapeli wako wengi, wanazifuatilia,
Msibumbwawe kwa wingi,tumboni zitaishia,
Na kitakachobakia, uchaguzi wanukia!
Twabeba nizigo mingi, hakuna wa kutuhurumia,
Anzia na mashangingi,mitaani yakizagaa,
Hayaingizi shilingi, bali zinaangamia,
Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.