Mkuu aliyeweka Jf alilenga watu kama sisi pia. Kulalama pia kunawafikia wahusika. Lakini nimejifunza kwamba hata WB naweza kuwasiliana nao.
NB. Tumepeleka malalamiko Tanesco wanasema wahusika waliotathimini hayupo hata mmoja wote wameenda Dar. Mara tathimini ilikosewa watakuja na vipimo vya...
Habari za mda huu!
Naenda moja kwa moja kwenye Mada.
Tanesco Igawilo jijini Mbeya wanataka kujenga kituo cha kupooza umeme. Kituo kikubwa kinachodhaminiwa na benki kuu.
Shirika hili limeomba kujenga kipande cha barabara ya rami kutoka barabara kuu iendayo Malawi kwa ajili ya kusafirisha...
Habari wandugu wa mda huu!
Naenda moja kwa moja kwenye mada. Nimepata mdada wa kazi anaesema yeye hali mnyama wa miguu minne yeyote yule. Kuku anakula na samaki. Ila tukipika nyama ya ng'ombe, mbuzi hagusi yupo radhi alale na njaa. Juzi kati kuna rafiki alikuja kunitembelea wakati wa chakula...
Habari wadau naomba msaada jinsi ya kuset adsense account. Nimeunganisha na you tube channel yangu nimejibiwa hivi mara mbili kila navyoconnect. Msaada tafadhali sijui nakosea wapi.
Poleni sana Mungu awatie nguvu. Madaktari wa bongo hata hivyo kanjanja nyingi sana. Hakikisha ugonjwa unaombiwa unao unaosoma tena pia mwenyewe kwenye internet na dawa unazopewa soma pia matumizi yake na side effects zake.
Niliwahi pewa dawa rufaa mbeya nilianza kuumwa sana kichwa bila kujua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.