Anyway kumuuliza ni sawa, ila ubongo wake wa kipanzi panzi unaweza kutoa jibu la kukera zaidi. Kimsingi JK hana majibu ya kuleta suluhu, ni chekacheka boy. Miaka 4ameulizwa maswali na amejibu na hakuna kilichobadilika saana. Nadhani kugoma kumuuliza maswali inaweza kuwa tiba ya majibu yake ya...
Next Level
Si unajua tena, breaking news lazima ziji break into pieces? Natania tu
Ila Tanzania tukicheza mambo yatakuwa mabaya zaidi, majambazi yanajijenga upya kwa ari, kasi na nguvu mpya
Hii biashara ya kukutana na waandishi inalipa sana...mwisho wa yote anayefaidi ni nani? Kempiski, waandishi na RA anajipatia burudisho la nafsi kuwa na yeye kidume ametoa mpya zaidi ya mwenzie one shilling aka Manji
Kapuchi
unaweza kuwa na hoja, ila kumbuka wanafunzi wa sasa wanaongoza kwa kuhonga walimu pia. Na hii ni changamoto ya vyuo KARIBU vyote vya elimu yajuu.
Pia mifumo ya vyuo iko wazi na makini katika ushahidi wa masuala ya taaluma. Hao wanafunzi wa KIKE na MRS kama unavyowabainisha wewe...
Utatu
Maswali ya msingi ameulizwa kwa miaka 3 na amebuni mtindo wa kukwepa kuyajibu. I think we must think ahead of him, yaani tumfanye nini huyu Muungwana? Kwa mfano ni lazima aambiwe wazi aache tabia ya kukwepa maswali kwani hiyo inaonesha udhaifu wake binafsi kama kiongozi na pia anaaibisha...
Nadhani watanzania wengi wana magonjwa ya milango ya fahamu hawaoni, hawasikii, hawahisi, hawanusi...mtu anasimama na nanihii zake kumsifia Lowassa of all the people... Kuna wachangiaji ha JF hakuna hata haja ya kuwaaandika kwenye post yangu maana naweza kuunguza vidole
Per diems zote zikipunguzwa hata watanzania watakuwa na amani ya roho. Per diems hizi zimenyang'anya watu watoto wao, wake na waume zao. Maambukizi wa Ukimwi ndo usiseme, maana mtaji wa masikini nguvu zake
Mbaya zaidi mashirika ya Umma kama UD nayo yameoza kwa per diem na allowances. Kuna siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.