Haiba ya Kanumba ilimruhusu na kumwezesha ku-act na diverse age actors it was natural hakutumia nguvu it was in him, that is why he was cherished. Sasa je, Ray anayo hiyo?
Nilifikiri nimeisoma na kuelewa vibaya, but in my opinion kama you are opening a place ni vizuri uka-invite watu wa aina mbali mbali because si wa South Africans tu ndiye watakae fika hapo.
Ndugu wana JF,
Ungkuwa wewe umepokea invitation ya namna hii ungeielewa vipi?
Dulce Cafe has recently opened their first store overseas in Dar es Salaam and we would love our South Africans residing in Dar to join us for breakfast tomorrow morning at 9h00. We are situated in the Atlantis...
Wow RealMa, you must be Mr. Man kwa unavyo mjali wie wako!
Hongera sana kaka, kwa kweli wachache sana wako na mapenzi kama yenu!
Tell us what did you get her this time around. :A S wink: ili wengine wajifunze kutoka kwako.
BIG UP BRO!!
Lizzy,kwani amesema ili awe nae kwaajili ya kumnunulia vitu? nilivyomuelewa mimi nikwamba the guy should not jealous nor angry and he should be responsible notexpecting her to do everything
Na hao watoto huko shule kwani wamefuata kusoma dini ya kiislam? Kama tatizo ni kanisa kuwa jirani basi watafute shule za kiislam wasome hapo.
Wangegoma toka mwanzo waseme hawataki kwenda Ndanda maana hapo karibu na shule kuna kanisa watu tungewaeelewa, lakini wanagoma after several years of...
Jamaani mimi naomba kuuliza kwa wenzangu ex-Ndanda, kwani hi shule ya Ndanda si imekuwepo miaka yote? na wapo waislam kibao ambao wamesoma hapo? mbona hizi vurugu za kutaka kujenga mskiti hazikuwepo? na kama kujenga watajenga wapi?
Maybe kule kwenye mazizi ya ngombe kama bado yapo maana...
I would not like it to happen to any person, that is why we are suppose to get parents involved in early stages of a relationship at least your mother, cause mom's are more understanding.
Kwanini muwe na negative generalisation why not a positive one? Inamaana wanaume waliyo nafikra hiyo kuhusu mdada mcheshi wao huwa wanaenda sana kinondoni kwa wadada poa? Kwanini kaka aliyekuwa mcheshi wadada wasifikiri kuwa nae ni mwingi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.