Search results

  1. Lole Gwakisa

    Sheria ya Mafao ya wenza wa viongozi wakuu: Usultani unapiga hodi!?

    JK alitakiwa amzuie chumbani mke wake ili asimwingize katika ufisadi huu unaokera wananchi.
  2. Lole Gwakisa

    Sheria ya Mafao ya wenza wa viongozi wakuu: Usultani unapiga hodi!?

    Bora tungeanza na damu yako! Iwe mfano mzuri wa kuigwa.
  3. Lole Gwakisa

    Video: Kwa ambao hamjawahi kuuona upako njooni hapa niwaonyeshe

    Ujinga mtupu, jamaa namminya kuku mapumbu halafu anatuambia kuku anaongea? Amweke huyo kuku acheze na ndombolo!!
  4. Lole Gwakisa

    Naibu Waziri Mkuu Dotto Biteko amesema kuwa serikali haiwezi kusema ni lini mgawo wa umeme utakwisha

    Kwa jinsi viongozi wetu wanavyo jikanganya naona kuna tatizo kubwa behind. -Mmoja, Chalamila , nasema miundombinu imechoka ndio maana umeme hauji -Mwingine, Naibu waziri wa nishati, amesema majuzi tu kuwa kinu kimoja kikiwashwa matatizo ya umeme utapungua -Spika aliingilia kati na kusema anawapa...
  5. Lole Gwakisa

    Wasomi Mzumbe University mmekosa viwango mazishi ya Dkt. Kamala

    Mkuu hiyo kuvaa raba katika official ceremony, ndiyo inaitwa uswahili kwa kiwango cha PhD. Hata Ikulu huyo haingii akiwa hivyo.
  6. Lole Gwakisa

    Foleni Barabara ya Dodoma - Dar husababisha hasara kubwa Kwa Taifa

    Mkuu tutasubiri sana, Mipango Miji(Ardhi) wako busy na kuuza viwanja walivyohodhi!
  7. Lole Gwakisa

    TARURA hii imekula kwenu, kuendekeza ujenzi usiozingatia viwango

    TARURA ni moja ya taasisi za ujenzi zilizoanzishwa miaka si mingi iliyopita. TARURA imekuwa jibu la wajenzi kwa siku nyingi kuwa na taasisi ya ujenzi chini ya halmashauri nchini. Chini ya Halmashauri kazi nyingi zilifanyika kiholela holela kwa mashinikizo ya madiwani na wanasiasa kwa ujumla...
  8. Lole Gwakisa

    SI KWELI Mafuriko ya maji yametokea leo Disemba 5, 2023 Mlima Kitonga, Iringa

    Hii post na picha ni mwaka yana/juzi
  9. Lole Gwakisa

    Serikali yetu fikirini nje ya box, mto Msimbazi unawaumbua!

    Mkuu mbona nimeweka solution, post no #30. Selander Bridge lazima lipanuliwe, kma kule Tanzanite Bridge. Hata member mmoja kachangia vizuri kwenye hili.
  10. Lole Gwakisa

    Serikali yetu fikirini nje ya box, mto Msimbazi unawaumbua!

    Kwa utundu tu, Magufuli aliweza kuanzisha ujenzi wa daraja la Busisi, bila budget, bila kupitia bunge, kwa mradi ambao ulikuwa ukifikiriwa kwa miaka 50 na zaidi.
  11. Lole Gwakisa

    Serikali yetu fikirini nje ya box, mto Msimbazi unawaumbua!

    Maamuzi magumu lazima yafanyike. Daraja la Selander lazima lipanuliwe kutokana na maji kuwa mengi na yanaongezeka kil a mwaka.
  12. Lole Gwakisa

    Serikali yetu fikirini nje ya box, mto Msimbazi unawaumbua!

    Pengine maelezo yamepiga chenga. Mto msimbazi ukifurika na maji yana kuja kwa kasi toka milima ya Pugu, maji hayo hatyatoki kwa kasi ile ile maana pale Selander Bridge upenyo wa maji ni mdogo. Hivyo basi maji yana back up, kurudi nyuma na kujaza Jangwani.
  13. Lole Gwakisa

    TANZIA Zahara wa Afrika Kusini afariki Dunia. Imedaiwa aliwekewa Sumu na Ndugu yake katika Sherehe ya Baada ya Mahari

    I am truly saddened by this uncalled for loss to Africa. I loved her voice really loved her.
  14. Lole Gwakisa

    Serikali yetu fikirini nje ya box, mto Msimbazi unawaumbua!

    Tatizo ni viongozi kushindwa ku think outside the box. Daraja la Selander inabidi lipanuliwe liwe at least 200metres ili kuruhusu maji kuingia baharini bila kizuio.
  15. Lole Gwakisa

    Serikali yetu fikirini nje ya box, mto Msimbazi unawaumbua!

    Ni kweli kabisa mkuu. Wengi hawaioni picha nzima, mafuriko yote yanapitia mdomo wa chupa uitwao Selander bridge. Kwa vile huo.mdomo wa chupa Selander ni finyu, lazima bwawa litajitengeneza Jangwani. Sijui kwa nini wapanda VX-V8 hawalioni hilo.
  16. Lole Gwakisa

    Serikali yetu fikirini nje ya box, mto Msimbazi unawaumbua!

    Ziwa Mwananyamala likijaa linatema mto Msimbazi kwa kusini na vile vile barabara ya Mwenge Morocco kwa kaskazini. Barabara ya Chato kwa wanaoijua ndio muathirika.
  17. Lole Gwakisa

    Serikali yetu fikirini nje ya box, mto Msimbazi unawaumbua!

    Mkuu umegota? Au hujui kinachoongelewa hapa!
  18. Lole Gwakisa

    Mbeya Jiji la Squatters: Dkt. Tulia tunaomba shughulikia hili

    Mbo mbo ngafu! Tutajie mkuu "wanaoruka" na unawafahamu!
  19. Lole Gwakisa

    Serikali yetu fikirini nje ya box, mto Msimbazi unawaumbua!

    Nipe reference ya jinsi outlet ya Msimbazi river itakavyopanuliwa, kwa maana ya kupanua Selander Bridge.
Back
Top Bottom