Aisee kitambo humu wakenya walikuwa wachache mno, tulikuwa tunangangana na hawa akina eliakeem, Abdulhalim na kina Geza kama kawa, naona vijana wapya wamechukua baton, hadi kieleweke mkuu.
Perekaaaaa, PHD holder wa Chemistry gani huyo anajibeba kama semi illiterate? Acha emotions, mimi si admire outsiders wowote isipokuwa ndugu zangu wa ki Africa, hilo halinizuii kua opinionated kuhusu Uncle Magu,handlers wake kidogo wamfunze diplomacy.
nani awaalike mkuu? alafu unadhani kuna world leader anaweza kumualika ********? watajadili nini? kwa lugha gani? wacha wanaojitambua waalikwe aise, nyie Museveni ndie size yenyu coz mkuu wa nchi ana behave nikama mkubwa wa nyumba kumi hivi. Mzaha kando, huwa hamuoni aibu mkuu anavyoongea nikama...
hahahaha wewe kichekesho tu mkuu, Kenya kuna nini cha kuliwa? Taxes? Kenya ni jangwa 75%, madini sufuri, hatuna chochote cha kuliwa. Tanzania ndugu zangu mna minerals worth trillions of dollars aise, migodi mme kuwa nayo for soooo many years, comparison yenyu upande wa minerals esp gold and...
Huyo jamaa kanishangaza akimcheka mwenzake kwa kuwa anafanya biashara ya vitunguu na mayai kupeleka Kenya, anaidharau hio biashara bila kujua it's a multi billion business, hahaha hajui watu wangapi wametajirika na wanaendelea kutajirika kwa biashara hio. This kids are really slow man, try...
Hii mambo mnapenda kusema mmesikia kuwa watu wananyanyaswa wakileta bidhaa Kenya mmesikia na nani? Pita pale wakulima market uone jinsi ma lorry yenye usajili wa Tanzania yamejazana yakileta machungwa, enda marikiti upate kuona magari ya Tanzania yamejaa yakimwaga vitungu. Mbona huwa mnapenda...
january 2009, miaka karibu nane iliopita ndipo tulikuwa tunajenga barabara ambayo saa hizi mnaanza kujenga, tumekamilisha barabara nyingi sana kuanzia Kibaki alivyoingia hadi sasa. Hatuna cha kununuia jirani zetu, fanyeni yenyu sisi yetu tulianza zamani sana na tunaendelea.
stop tagging me in posts that I posted in 2009 chief, are you seriously that bored and idle? digging into archives just to bring up topics that do not apply to any current situation, get a life chief, seriously, get something to do with your time.
shukran bro, ligi lazima zitakwepo lakini tusipoteze dira ya tunapoelekea na tunapoweza fika tukishirikiana na kuonyesha njia kwa wale ambao wamekuja baada yetu. Viva East Africa.
Mkuu Eliakeem unajua mimi na wewe tumeanza ubishi hapa JF karibia miaka kumi sasa, kuna alot of opportunities we have lost kwa kuwa huwa hatujaribu ku form connections and networks huku kwenye hii ligi yetu. Tunaburuzana tu na kudanganya watoto wanaojiunga upya jinsi waKenya wanawachukia wa...
Eliakeem, mimi nimezunguka kote east africa, hadi kule watu huwa wanaogopa kuenda, I still say that Nairobi is the best city in east africa, na sisemi hivyo kwa kuwa mimi ni Mkenya bali enviroment ya Nairobi iko poa sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.