Sawa basi, pamoja na hayo angalau muwe mnamkumbusha awe anaonyosha masikitiko, ikiwezekana muwe mnamlambisha hata ndimu ili itoe lile tabasamu aweke kahuzuni kidogo, l.o.l!
Nimefundishwa kushirikiana nao kila siku kwenye biashara za kitapeli lakini hata kidogo nisikubali kuwafahamu wamiliki... so hata mmiliki wa richmond simfahamu...
Lakini waliwaambia wananchi "wakija huko wazomeeni". Kibao kimewageukia wao wenyewe, sasa si wanazomewa tu kama walivyotaka wenzao wazomewe, na mawe wanapigwa pia..:biggrin1:na bado...
Na kale ka wimbo kao je?
Kikwete: Chama chetu cha mafisadi chabomoa nchi.
Mafisadi: Chama chetu cha mafisadi chabomoa nchi.
Kikwete: RA
Mafisadi: Eehn
Kikwete: Na mimi
Mafisadi; Twabomoa nchi
Kikwete: Lowasa
Mafisadi:Ehn
Kikwete: Na sisi
Mafisadi: Twabomoa nchi
.....
Jamani, ni aibu mi nilikua kila siku najiuliza huk ndani kuna nini mbona kunafichwa hivyo? kumbe bi uozo tu.
Ukiwa unapanda zile ngazi za kwenda Lounge ya wanaosafiri ndani ya nchi tu inatia aibu. Sijui lini tutafika???
Kwa kweli hata mimi jana nilikuwa na wazo kwamba huenda sisiem wameamua kuhamishia kura za CHADEMA walizochakachua kwa CUF ili kuua nguvu ya CHADEMA, lakini wajue kwamba hatudanganyiki. Sasa nazidi kufunguka macho...
Yaani, yule mfanyabiashara wa soko la tandale kama sijakosea alikuwa na haki ya kumfokea yule Meya, sasa na sisi wananchi wengine sijui tunaweza kufanya hivyo kwa viongozi wetu jamani, hali ni mbaya sana,, wee temblea tu kijijini kwenu uangalie mambo yalivyo, inasikitisha kweli...watoo...
aah, lisemwalo lipo kama halipo laja... Tatizo madaktari wa siku hizi hawana ethics za udaktari au kama si hivyo ni njaa tu zinawasumbua ukizingatia mishahara yenyewe ndo kama ile tena.... dah, afadhali kutumia miti shamba ya babu zetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.