dah! kiuchumi maana yake uchumi umepiga mweleka na ikiwa hivyo na hawa mateja wetu akikupick pocket tu! maana yake chali kama ndo hizo hizo ulikuwa nazo.
Naomba kuuliza nimejaribu kuperuz kwa speed ya mwanga sijaweza kupata mwanga wa kutosha . ina maana kutakuwa na marais watatu??
Rais wa tanganyika
Rais wa zanzibar
Rais wa muungano.
Sasa mbona sijaona kipengele kinachozungumzia uchaguzi wa rais wa tanganyika????isipokuwa alie Rais na wenzake...
perfect ukipenda kudesa kila kitu maana yake wewe nimasikini wa kufikiri na hufai kuongoza . kwani mandela alidesa kwa nani ?? na je huyo Mugabe unayemzungumzia wewe alidesa kwa nani??? BE innovative that's all about leadership.
watanzania wamezoea kauli hizi hawana muda wa kuzifuatilia kwa undani na ndo maana hazina madhara . Naamini yakitokea madahara hazitajirudia rudia tena . Tusubiri tuone ,
nakumbuka
Hata nyasi twaweza kula ila dege la RAHISI (raisi)
Piga mbizi kama nauli ni kubwa
Washa kibatari au ulale gizani...
INAWEZEKANA ila kama waweza hebu tuwekee phase one inaanzia wapi hadi wapi na kuna phase ngapi na ni project ya siku ngapi? mwisho wake ni wapi maanaumeniacha njia panda. SAFARI YA HATUA 1000 HUANZA NA HATUA MOJA??!!!
kuoa hakuangalii elimu au kutokuwa na elimu bali maelewano kati yenu mlio amua kuoana. unaweza oa alie na elimu akawa unavyosema msumbufu na pasua kichwa lakini ukaoa aliesoma mambo yakanyooka sana tu. ila ukaoa ambaye hajasoma likawa janga au ikawa neema hadi wewe mwenyewe ukashangaaa ...
Huu ni mtizamo wako wewe binafsi usitake kila mtu akubali mtizamo wako.
Kwanza kabla ya kusema hayo uliyosema unatakiwa ujue yafuatayo
1. kwanini unataka kuoa
2.Je huyo utakaye fungamana nae kama mke wako ni kwa vigezo vipi tena vya muhimu sio eti huyu katokea x huyu katokea y huyu bali ni...
mke si kabila na kabila sii mke. mke na kabila ni vitu viwili tofauti kabisa. ushauri wangu kwako usioe kabila lolote bali uoe mwanamke yeyote ambae atakufaa maishani na mtaelewana :biggrin1:
Duh sina usemi ila bado tunaamka . Kwa haraka watu wenye uwezo wa kung'amua haya wanaongezeka na wa kuyafitini wamo vivyo hivyo kwa wenye mapenzi mema na tz tuko paoja aila kujali chochote . Dini ,itikadi,mrengo nk .
nadhani usikurupuke kuwashauri watu kabla hujafanya research. kiujumla nakushauri ufanye utaratibu wa kuzijua hizo m-pesa,tigi,na kdhalika .
huduma yao ni nzuri tu wala haina matatizo sema ukitaka uwe na matatizo utakuwa nayo tuu. wangapi wana acount benki na hakuna yeyote anayejua na akifa...
Mwenye akili hawezi kushangaa watetea haki wanapo zvngumza . watu wanapoteza uhai ambao ni haki yao kimsingi unataka wakae kimya utakuwa na matatizo. kiujumla ulitakiwa uwena maono ya mbali kujua kuwa viongozi wa dini zote ni mojawapo ya waleta amani kivipi wapi ulishasikia wakiwataka wav...
Weka nyingine yaani ? umenigusa mbaya. wa sasa hawezi wana hofu watu wamekunja sura . unaweza kuingia ndani ya zoo ,......ukamkamata simba mkia hata angeweza natoa ofa nikimwona tu ! tz itakuwa yetu si unajua mwenye tz anakamilisha mkataba au umesahau?
Wanataka mwafaka ndo watakavyo sema kwani kuna ugomvi hapa? haki itendeke majadiliano kujadili nini waafri ni hopeless kabisa. nenda kaangalie kule kenya? nenda kwa mugabe na sasa tz malizia na ivory cost.
Wote asanteni mnaofahamu wezi kina nani . maziko ndo hayo ooo . sikujua bora umesema kumbe ccm ni dini hiyo ? pole chadema hakina dini . ni chama cha wapenda haki .pi ......mbi Ndo akili zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.