Search results

  1. B

    Rais Magufuli ruhusu ajira sasa

    hata kujitolea kuna gharama mfano chakula, malazi,nauli,mavazi sema ww unadhani kila mtu ana mtegemezi, wengine wamesimama wenewe wao kama wao
  2. B

    Rais Magufuli ruhusu ajira sasa

    nimecheka sana, ahsante kwa kuongeza siku zangu za kuishi
  3. B

    Waraka wa wazi kwa Waziri wa ajira na Rais Magufuli

    umekosea si TEMESA NI TaESA kama sijakosea, TEMESA ni wakala wa ufundi na umeme(Tanzania Electrical, Mechamical and Electronics Services Agency)
  4. B

    Ukimya wa UKAWA: Unamaanisha kupinga yanayofanywa na Rais

    hayo ni maoni yako si ya wananchi
  5. B

    Makao Makuu ya SIDO yako wapi?

    Kama unataka makao makuu kwa maana ua taifa ni upanga lakini kama unataka sido kwa mkoa wa dsm ni nyerere road kituo kinaitwa sido ni next to vingunguti kama unatokea tazara kuelekea airport
  6. B

    Magufuli umeokoka unakubali kubeba mzigo wa dhuluma

    Kagame jana kosa maana tayari alishakiri yeye na mkurunziza hawana demokrasia na sasa anataka kikwete aoneshe demokrasia ili ajitofautishe na yeye pamoja na nkurunzinza
  7. B

    Siendi tena TAESA

    si hapo tuu,,,,,,ukweli ni kwamba serikali inatumia pesa nying sana kulipa wafanyakazi ambao hawaingizi chochote. ni tatizo kubwa kuliko tunavyofikiria na kwa style hii serikali kupiga hatua kimaendeleo tusahau. anatakiwa mtu mmoja mwenye uchungu na serikali ili afumue kila kitu na kujenga upya...
  8. B

    Tamko la Mbatia lisipuuzwe na Serikali hata kidogo

    ww una uwezo wa kujua kilichopo moyoni mwa mtu? nani awezae kujua mawazo ya mtu? kwani wote waendao kwenye mazishi fulani wana dhamira ya kweli? unapima kwa kipimo gani ili ujue mwenye dhamira ya kweli na asiye na dhamira ya kweli? tangu lini tanzania tuna tamaduni za kuchagua watu wa kwenda...
  9. B

    Msaada: Mfuko wa hifadhi ya jamii (NSSF /ZSSF)

    MIMI pia nakushauri kuingia kwenye website ya kila mmoja pitia kwa utulivu na kufanya maamuzi kulingana na mahitaji yako. kila mtu ana mipango yake na mahitaji yake binafsi
  10. B

    Natafuta kazi ya kujitolea

    Samahani sana, halikuwa lengo langu. mimi nilivyoona mambo ya cummulative grade nikajua bado hujamaliza. mimi ninavyojua kama tayar umemaliza unapata GPA na si CGPA na huwa haina decimal places mbili. Pole na samahani sana halikuwa lengo langu na nina muda sijatembelea huku ndo sababu...
  11. B

    Nina Utata Dhidi ya Vietel Tanzania Company

    no research no right to talk, hawa jamaa wapo na wanafanya kazi hata kama ww huwafahamu serikali inawafahamu
  12. B

    Nguvu ya marafiki wapya na nafasi ya kutafuta kazi

    What a wonderful idea is? Keep rocking a man of God.
  13. B

    Mkanganyiko wa Recruitment Portal ya Secretarieti ya ajira

    tunachanganya mambo, ndugu hiyo tarehe ni tarehe ile ambayo ww ulifanya hiyo application, na first interview ni status ya hiyo post kwa sasa
  14. B

    Ajira Utumishi - Recruitment portal

    scan uvi combine viwe kama file moja then uvitume(pdf)
  15. B

    Ajira Utumishi - Recruitment portal

    :heh: hapana, hiyo ni capability ya browser yako maana umekuwa ukitumia hiyo email mara kwa mara, browser huwa zina uwezo wa kuwa na kumbukumbu(cache)
  16. B

    Ahsante Mungu kwa kunipatia Kazi

    all the best, may God be upon you as you move forward to new life, experience and dreams
  17. B

    Atakaeguswa Msaada Tafadhali

    Mungu anakuandaa ili akupe kazi kubwa ya kuudumia watu wake, lazima akupe training/coaching ya kutosha ili atakapokukabidhi hiyo kazi uifanye kwa uaminifu
  18. B

    Natafuta kazi ya kujitolea

    maliza kwanza chuo
Back
Top Bottom