Kwa hili CDM mnahusika kwn matarajio ya Watz wengi kwa ss chama mbadala cha kushika dola baada ya uchaguzi 2015 ni CDM. Hivyo ni MUHIMU sana kuwaonyesha Watz kuwa kimedhamiria na kipo tayari kushika dola hata kama CCM Leo watabwaga manyanga. Kwa mtazamo wangu kukaa kuanza ky-discuss CCM ni...
Habari zenu?
Wadau hebu elezea hisia "emotion" ulizopata baada ya kupigiwa cm ya kuitwa ktk usaili wako wa kwanza kabisaaa baada ya kumaliza masomo iwe college/ university etc. Tupia hapa uelezee feelings zako ilikuwaje.
Angalizo: Wote walioshikwa mkono na mjomba/shemeji/ndugu hawahusiki kwani...
Haina tatizo la betri mkuu. Bei nimesema hy kwa sababu ninayo cm mpya nyingine na hii Vlvl nilinunua nje ya nchi kwa bei ya kawaida sasa kwa nini niwauzie Watz wenzangu bei ya tamaa. Muda nilioitumia hadi Leo ni mwezi mmoja na cku 25. Ila angalizo ktk betri ni kwa kutegemea matumizi yako kwn...
Simu aina ya HTC Desire yenye specifications zifuatazo inauzwa:
Aina: HTC Desire A8181
Android version 2.3.3
Processor: 1GHz
Memory.: 384Mb
Display: 3.7 inch WVGA Resolution
Main Camera: 5M
Wi-Fi: 802.11b/g/n
Price negotiable: Tsh 230,000.
Call 0659 211 222
Note: cm ni used
Habari zenu!
Nina maswali machache juu ya Rais J. M Kikwete yanayonisumbua ambayo kwa mtazamo wangu nahitaji kuelimishwa zaidi:
1. Ni kwa nini Rais anasemwa ni mdini? Nini maana ya mtu mdini? Dalili zake ni zipi?
2. Kama ni kweli Rais ni mdini, je hii ni kutokana na yeye binafsi ana hulka ya...
Kwa hili la kujiunga OIC sipo nawe. Mbona Vatican wana ubalozi hapa Tz, Watz tulidhirikishwa ktk suala la kufungua ubalozi hapa ilhali Vatican inajulikana wazi ipo kwa maslahi ya wakatoliki. Huoni dini nyingine zinadhulumiwa kwa hili. Hebu acha udini wako mfilisika mkubwa wa tafakuri we.
Ktk phonebook majina yanajirudia mfano: john john john john au Zero Zero etc. Vlvl nimegundua tatizo jingine kutoa msj ya kuonyesha cm imejaa ie low on space
Naomba msaada WanaJf kwa mwenye kujua juu ya cm hii HTC Desire A8181 imekuwa na tatizo la jina kujirudiarudia. Mfano. John basi linajirudia kama mara 5 hv n.k. mwenye ufahamu tafadhali knoweledge yako muhimu.
Jambo muhimu ni kuweka taratibu nzuri zitakazowezesha jambo hk la kuchinja kuwa lenye ufanisi. Usiangalie kuchinja tu Bali angalia na mabucha ya kuuzia nyama hz. Je kuna matayarisho gani yamefanyika ktk Hz bucha kuonyesha kinagaubaga nyama ya hapa mnyama alichinjwa na Mwislam au mkristo. Kwa...
Yaani balaa juu ya balaa tu. Elimu yenyewe tumekopeshwa then na kazi wanataka tununue, duuh! Ndo maana hakuna tija, ufanisi, wala weledi unaohitajika ktk kazi hakuna tena. Ofisi nyingi zimejaa urasimu na ubabaishaji kwa sababu hakuna tena nidhamu ya kazi. Utahoji nini wakati mfanyakazi kainunua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.