Boss, Mimi niliwahinkupanda train kutoka Mwanza nauli yangu mwisho ilikuwa Moro, na nilikuwa sijui naenda wapi, na kufanya nini.
Safari ya train siku 2, na Sina hata 100 ya kula. Maji ya kunywa navizia usiku watu wamelala naiba.
Nilifika moro station usiku, nikalala happy mpaka Asubuhi. Yaani...
Kuwa na uadui huo ndio ujue una hisia za utu na ubindamu.
Kwasababu watu wengi wanaonifanya hawavhukii mtu kwasababu za kisiasa wengi ni magwini wa UNAFIKI, Wanaoabudu pesa na wanaohalalisha kila uovu kwasababu ya siasa.
Yaani Jitu linaua watu au linadhulumu watu, weee ulichkekee chekee...
Samia anakopa analipa madeni ya magufuli.
Hili mbona liko wazi.
Kuna siku yeye mwenyewe alishasema hadharani, kwamba aliambiwa na Mwigulu Kuna mkopo upo unaiva muda siyo mrefu.
Kilichotokea, mkopo waliokuwa wamepata kipindi hicho wakalipa huo mkopo.
Nadhani wotenajua kuwa Magufuli alikataa...
Mabeyo alipewa cheo na kila kitu na Jiwe.
Ndio maana analia.
Maana ingekuwa ni UBINADAMU tunheuona kwa kina Azory Gwanda, Tundu Lissu na kina Been Saanane
Hiyo 5 BORA ilikuwa ni majina tu ya mfukoni ya kumsindiikza chaguo la Mkapa, Magufuli.
Wakaweka kijana mmoja (Makamba), wanawake wawili na Membe na Mhusika Magufuli.
HAYO MAJINA HAYAKUPATIKANA KWA KUPIGIWA kura.
Kwa Tanzania UTAPELI NI BIASHARA KUBWA NA HALALI KABISA.
https://www.jamiiforums.com/threads/ukweli-usiosemwa-kwa-tanzania-utapeli-ni-biashara-iliyohalalishwa-kabisa-isipokuwa-kwa-wenye-mamlaka-tu.2036813/
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.