Search results

  1. M

    Msemaji Mkuu wa Serikali azungumzia mafuriko nchini, miaka 60 ya muungano na SGR ya Dar-Dom

    Hata gali.likiwa jipya huwezi kuanza kuiendesha kwa speed ya juu sana. Hapo ni kutest train yenyewe, hiyo rail, na suala la umeme. Tuwape muda wanaohusika kuwasiliaha ahadi yao kwa umma!
  2. M

    Wakati tuko Busy na Yanga na Simba watu wanagawana nchi

    Naunga mkoni hoja hii. Ukweli ni kwamba hii ndiyo hali ambayo watawala wanaifurahi. Ngoja bei sukari ifike elfu 10 kwa kilo ndo akili inaweza kurejea. Kwa Mkapa leo kunachimbika.
  3. M

    Wakati Makonda anakwenda Arusha kuwa Mkuu wa Mkoa tunauliza kuhusu CV yake.

    Kwa ccm hii cv siyo kitu muhimu ili kuaminiwa kuongoza. Ukada ndo mambo yote.
  4. M

    Hayati Magufuli kukataa kufanya tathmini ya mazingira bwawa la Nyerere, sasa Rufiji inazama, serikali ifanye tathmini ya mazingira sasa

    Ila kwa hili bwawa letu la JNHPP, baba aliyekataa kufanya tathmini ya mazingira kwa kina, akajenga kuanzia msingi hadi lenta, lazima alsumiwe tu. Mjane yeye aliamua tu kumalizia nyumba.
  5. M

    Africa: Tanzania yashika nafasi ya kwanza kwa nchi zenye watu wenye furaha zaidi

    WaTZ kwa unafik tunaongoza! Yaani hata machungu tuliyonayo tumeyaficha.
  6. M

    Rais Samia ateka hisia za mamilioni ya watanzania katika usiku wa leo

    Timeshaona mzazi akisifiwa na kushukuriwa na ndugu jamaa na marafiki kwa kusomesha watoto wake na kuhakikisha wana afya nzuri, hadi inaboa. Baadhi ya watoto walio karibu na maza au faza wanasifia kupitiliza, hata kwa mambo ambayo wasifiwa wenyewe hawajui, sababu baadhi ya hawa watoto wana...
  7. M

    Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    Bwawa la nini wakati tunabupepo wa kutosha na jua la kutosha! Bwawa Halikuwa la lazima!
  8. M

    Bajeti ya Maandamano Arusha kuijenga au kuipasua CHADEMA?

    Kwa akili yako unaona ni lazima useme hata kama ni uongo na uzandiki. Wenye akili tumekung'amua. Get a life!
  9. M

    Ni nini hatima ya maelfu ya hotel za kitalii zilizopo jiji la Arusha?

    Naona ya DPW yanaendelea kiaina!
  10. M

    Spika wa Bunge Tulia Ackson ashitakiwa Kwa Wananchi , namba yake ya simu yawekwa hadharani

    Mnyika yuko sahihi. Tulia na namba yake ni halali ya wananchi. Sitarajii wamtukane sababu hayo si maelekezo ya Mnyika. Wakati wa kuwajibika kwa umma umefika. Baada ya Tulia .......... na .............!
  11. M

    Makonda awaomba CHADEMA kusitisha shughuli zao za kisiasa, kuomboleza kifo cha Lowassa

    Nafikiri anaomba na si kila aombaye hupata anachokiomba!
  12. M

    Suala la Bunge kudharau maoni; Kesi ya Kikatiba Ifunguliwe

    Wengine tulishajua kuwa hilo bunge la TAM na SSH halijawahi kuwa na dhamira ya kusikiloza na kufanyia kazi maoni ya wananchi kuhusu miswada husika. Maandamano ya amani lazima yaendelee na ikishindikana basi sasa tutafute LUGHA nyingine.
  13. M

    Sukari yafika shilingi 5,000 kwa kilo moja

    Nchi inaongozwa na chama kichovu na chakavu mno.
  14. M

    Ni kauli ya "kishamba" mno aliyotoa Chalamila, kuwa tarehe 24, majeshi yetu yote yatakuwa yanafanya usafi jijini!

    Magu keshaenda zake. Tusonge mbele. Chala hafai hata kuwa mkuu wa kata.
Back
Top Bottom