oy kama uko poa swaiba fanya mambo mengine! usitegemee serikali pesa yao ipo kwenye mifuko ya wakubwa! 2sidanganye ka wato ualimu wenyewe bora muuzagenge!
wanajaza shule wakati zilizokuepo hazija kamilika!
watoto wanafauru bajeti inapungua! tunaempenda hatumchagui! Na tunaemchagua ha2mwamini tutabadilika kweli? never!!!!..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.