Jamani haya mambo mengine muwe mnaangalia na uhalisia maana kuna shahawa zinanuka/harufu mbaya jamani acheni tu sasa kaka yangu usije ukawa unamlaumu mwenzio tu kumbe hizo zako zitokazo ndo kimeo.
watu waseme yooooooooooote wanaume warefu alafu asiwe mnene ila ajae kidogo hata akikukumbatia unajisikia kitu, lakini wafupi lol! kwanza naenda nae wapi
Ni kweli kabisa siasa imo ndomaana kuna dharau, viburi tele na kutojaliana, watu hawathaminiani wengine elimu ndogo lakini mishahara juu mno na wengine elimu kubwa mshahara kiduchu kama sio siasa ni kitu gani? pachunguzwe kwa kweli hata kama siasa ndo iko kunyanyasa wafanyakazi?????? Lengo lao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.