daah mkuu hii ni kweli kabisa siwezi kusema nimepata mafanikio 100% ila ukilinganisha kipindi cha miaka miwili nyuma na sasa hivi nimepiga hatua na hii ni kutokana na kazi nzuri niliyopata na cheo ambacho ninacho kwa sasa.,,nazidi kuomba Mungu nifanikiwe zaidi
Habari mkuu,
Nina miaka zaidi ya miwili sasa naota ndoto zinazohusiana na maji, either kuna mafuriko napita kwenye hayo maji ila kabla sijavuka ng'ambo ya pili maji yanakuwa yameisha, na ndoto zingine napita sehemu kuna maji mengi sana yanatembea kwa kasi nawaongoza rafikizi zangu au ndugu...
Wadau hv ni kweli cartoon ya the Simpsons inacheza uwalisia wa maisha ya maraisi wa marekani na watu maarufu na walishaigiza maisha ya urais ya Donald Trump hata kabla ya kuwa rais
hata mimi tatizo kama hilo nilinitokea, proten ilizidi nywenye mkojo na hii inatokana na kwamba sinywi sana maji...ila nimejirekebisha na mara ya pili nilivyorudi hosp. Ikawa imeisha...NB kunywa maji mengi sana maji ni tiba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.