Kiukweli hawa jamaa sio. Juzi nilinunua vocha kwa bahati mbaya iliingia kwenye maji kilichotokea ni kwamba namba zote zilifutika. Nilipowapigia huduma kwa wateja muhudumu wakwanza aliniambia aliniambia nimtajie sirio namba chakushangaza eti ananiambia vocha imeshatumika. Sasa nani katumia wakati...
jamaa bana nimewaomba udhibitisho wa uwepo wa kampuni (makampuni) yao ila wameshindwa kufanya hivo. Wameishia kunitumia mikataba yao na kunitaka niingize kiasi cha $2,500 kwenye akaunt waliyo nitumia huku wakidai kua ni ya insurence company. Kwakufanya vile wata nitumia huo mkopo kwa muda wa...
Good idea, ila unatafuta biashara ya kufanya kwa huo mtaji wa 4.5 au unampango wa kuzichanga au pia unampango wa kugawa za matumizi hapohapo? Jaribu kufunguka ili upate ushauri mzuri zaidi. Kama vp mm nina ungana na idea ya mwanaisha. GUD LUCK
Mama Joe na Chasha, nimeipenda hii. Tunapaswa kubadilika ila naamini haya mabadiliko yatachuku muda kupatikana. Tayari mfumo wa maisha umesha waadhiri watanzania wengi. TUTASHINDA
Tanzania is really blessed, it is the land of wonders. Your journey in Africa will not be compleate without visit to Tanzania. Also your visit in Tanzania will not be compleated without climb mt Kilimanjaro, Game drive in Ngorongoro Crater and the Serengeti. KARIBU TANZANIA
Pole sana mkuu, ulipaswa kufanya hivyo mapema kabla ujajisajili kwajili ya mitihani ya kidato cha pili. Tatizo la sheria za nchi yetu ni kama zinapingana. Umenikumbusha mbali sana nilisha teseka sana kwa tatizo kama lako kipindi cha nyuma. POLE MKUU
Kaka mm nadhan mashine zote zipo poa ila inategemeana na wewe mwenyewe kua unapenda ipi. Hata hivyo mm nakushauri ununue HP/Compaq hp ni nzuri sana. Suala la bei linategemeana na mkoa ulipo ila kwa sehemu kama Arusha utapata lap safi kwa hiyo bei.
Hawa jamaa kama ni matapeli wametisha maana hawafanani na matapeli wengine ambao tumesha wazoea. Kwanza sijawahi kupata spam au email zozote zisizoeleweka. Pili hawana haraka huu sasa ni mwezi wa3 kwanzia nipoanza proses wapo makini mbaya!
Nakushukuru sana kiongozi kwa kuonesha sapoti kubwa. Hata mimi nimejikuta nikipoteza imani kulingana na hali halisi ya Syria kwa sasa. Wenyewe wamekubali kunipa dola laki moja(U$100,000) ambazo nitarudisha kwa kipindi cha miaka 10 kwa rate ya 5%
MAWASILIANO YAO NI
H.E. Haroun al Assad(...
Habari zenu wana jamii. Nimekua nikitafuta fund kwa muda mrefu nikabahatika kukutana na kampuni ya SYRIA inayojulikana kwa jina la (HAROUN HOLDING COMPANY) C.E.O wa kampuni hii amejitambulisha kwangu kwa jina la E.H Haroun al Assad. Baada ya mazungumzo nae akanitaka nimtumie business plan ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.