Kama waliwalenga vijana wa vijijini au wale ambao kiwango chao cha elimu hakikuwa kigezo katika usaili huo, nadhani ilikuwa ni makosa kuyahusisha maneno kama IQ au Black box katika huo usaili . Hasa ukizingatia kuwa lugha ya taifa si Kiingereza, na lugha ya kufundishia bado ni ugonjwa wa taifa.
Mzee wewe mkali
Lakini sijakubali
Mbona meliweka mbali
Swali langu la awali?
Kupenda sio hisia
Bado hujaniambia
Vipi linajisikia
Kisu kinapoingia?
Kupenda sio kuhisi
Ni tendo lenye kiasi
Lizukalo kwa wepesi
Kati ya wenye nafasi
Doriani lapendeza
Machoni linaliwaza
Hebu puani...
Nakushauri hii uifungulie thread yake maalum ili wakusaidie hata wale walio nje ya thread hii. After all, heading ya thread hii ipo tofauti na matakwa yako. Ukibuni heading nzuri, nategemea utapata majibu lukuki.
Tatizo, ndugu, sio message. Tatizo limo ndani ya mwenza wako -- ana-respond to stimuli. Kwahiyo, hata ukimnyang'anya au kumtafutia kazi ya kufanya, kama walivyoshauri wengine, hautakuwa ufumbuzi.
Kwa mfano, tuchukulie huna mtandao nyumbani. Leo umemnyang'anya simu, kesho, keshokutwa...
Kumbe wanaume wanapenda wake zao wakiwa "broke", ila wanawake ndio hawapendi waume zao wakiwa hivyo -- na kwahiyo ni sifa ya wanawake tu kuwa hivyo!
Wanaume huwa "wanachoka" wakifika kwa wake zao kwa sababu wanakuwa wameshapata "stahili" zao kwingine.
Kumbe mwanamke akimsifu mwanaume...
I was anxiously waiting for this, shosti! You should refrain from it if umemrudia Bwana. Usije ukatoka kwa Bwana, ukarudi kwa bwana.
Can't comment on this, dear, bcoz I'm not of the mipasho type. Mkono mmoja haujipigi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.