Kwa kweli watu tumezidi kupenda mali kuliko utu. Hata hatumwogopi Mwenyezi Mungu?
Kwa nini tunajitetea kwa kutumia uongo mwingi sana ili tupate mali?. Jamani hili ni fundisho. Kila mtu ajitafiti amedhulumu wangapi kwa uongo alioutumia? Tumwogope Mungu! Mali zote tutaziacha hapa hapa. Hata kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.