jileezee,
Unaandika kwa ufasaha sana kiasi kwamba sio rahisi kusema wewe ni mtu mwenye elimu ndogo kama unavyojinasibu hapa jamvini.
Haidhuru, nakutakia kheri katika maisha yako.
Kama una low sperm count inawezekana usipate mtoto kwa njia ya kujamiana. Unaweza ukajaribu kupitia IVF, ambapo wanaweza kuchukua mbegu zako wakapandikiza kwa mke wako, na akazaa.
Usikate tamaa na umefungua account kwa jina baya kabisa - gloomy.
Hivi unateteaje mbakaji kwa vile tu ni Kasisi? Una akili gani wewe, ingekuwa mwanao au wewe umebakwa ungeandika haya? Unaelewa maana ya kulawitiwa na hawa watoto wanapitia uchungu gani? Unadiriki kusema wapewe adhabu ila isiwe ya kuwakomoa makasisi? Acha upumbavu
Wanasema huyo Dina wa mwaka 2017 uncle zake waliruhusiwa kuingia airport wakampiga kwanza, wakamfunga mdomo kwa tape wakamweka kwenye wheelchair wakamrudisha Saudi Arabia. Tangu wakati huo mpaka leo habari zake hazijasikika tena.
Kuna watu wanajua fika kuwa haya yanaruhusiwa katika imani yao...
Updates: ndege ya Kuwait Airlines itaondoka Bangkok saa 5.15 asubuhi. Inasemekana baba yake Rahaf ni Gavana huko Saudi Arabia. Ubalozi wa Saudia wamesema hawajachukua passport yake lakini dunia nzima hawawaamini kama walivyodanganya kuwa Khashoggi aliondoka Ubalozi akiwa anatembea! Rahaf...
Binti mmoja raia wa Saudi Arabia, Rahaf Mohammed, miaka 18 amewekwa kizuizini uwanja wa ndege wa Bangkok Thailand alipojaribu kuikimbia familia yake na mateso nchini Saudi Arabia. Kwa maelezo yake ni kwamba matukio yaliyomtokea ni pamoja na kukata nywele zake na familia yake kumpa adhabu ya...
Kulikuwa na ulazima wa kusema Megapixel ni handsome amazing wewe? Au unataka tu kuanzisha mijadala ya hivyo hapa ndani? Uwe na adabu tena mtu amekusaidia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.