Kwanini usichukue muda wako nawe ukaanza kuchimba historia ya mtu mweusi kuliko kukakamaza shingo?....ukombozi wa watu huanza katka kujitambua kwanza....swali la kwanza huwa mimi ni nani?? Nimetokea wapi? Asili yangu historia yangu?....kujikomboa kitamaduni kijamii...kifikra...ndiko hupelekea...
Herode alikuwa mtawala alowakwa na waroma....ni sawasawa na useme tanganyika si ilikuwa. Chini ya gorvenor richard turnbull kwa iyo watanganyika walkuwa wazungu???...try to dig deep na kusoma zaidi
hii hapa ya solothang aka ulamaa-homa ya dunia........
aisee kama kuna mtu ana yoyote kati ya hizi ...nazitafuta saana..
-artful dodgers (Mapacha0,big 4da geez(geez mabovu), fid q, na squeezer- TUPO TOWN
-Big 4da gees (Gees mabovu)-CHAUSIKU ft daz mwalimu, SERO ft. noor elly
-Squeezer ft dataz-...
kauli yako nzito sana sijajua unaitetea vipi....but kwa tamaduni artists nikki mbishi ndo ana reign supreme...sema kuna vitu inabidi avifanyie kazi haswa live perfomance, pia ajifunze kujieleza mbele ya hadhira.
hivi mmewaona hawa watu wanaitwa MAMBO NA VIJIMAMBO?....wana season 1 ina episode 13 na zote wamezitupia youtube .....hawa jamaa tisha sana katika tasnia ya kuvunja mbavu....hakikisha una kamba za kufungia mbavu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.