Search results

  1. K

    Kazi ya ujenzi wa ukuta Mererani Ikiendelea Kwa Kasi

    Baba, hayo madini yapo Tz pekee, wilaya ya Simanjiro pekee, hapo Mirerani tu. Kwa hiyo wacha ukuta ujengwe kwani sh . ngapi bana? Tumeibiwa mno, tumepuuzwa mno, wacha wajenge labda tutaokoa hii rasilimali yetu adimu. Jenga, jenga, jenga........ Bravo raisi wangu kwa uamuzi wa busara.
  2. K

    Ufugaji wa paka

    Hapo kwenye Popo weka darasa maana hapa home kwangu wanasumbua sana night wanafata matunda ya mti fulani, yaani ni kero. Weka darasa tupige hela mkuu.
  3. K

    KIPANYA LEO: Msaada kwenye tuta!

    You NAILED IT 'Broda'.
  4. K

    Ukuaji wa lugha ya Kiswahili: Neno Mbashara

    Kuna hili lingine linaitwa 'BASHA MUHANDIS' likiwa na maana ya Chief Engineer nalo lina mzizi kutoka lugha ya kiarabu, lakini hapa kwetu naona haliwezi kuwa na mshiko kwani lina ukakasi kidogo.
  5. K

    Maxence Melo: Neno la shukrani kwa wote

    Pole sana Mkuu, yana mwisho.
  6. K

    Katuni gani kwenye gazeti umeimisi sana?

    Bogi Benda, wacha kabisa.
  7. K

    Mchungaji Anthony Lusekelo 'Mzee wa Upako' awaombea kifo waandishi wa habari

    Shida ipo hapo mkuu wangu, huwa napata wasiwasi kuwa idadi ya watz wenye upeo wa fikra sahihi ni ndogo. Angalia muda unaopotea kwa watu hawa kwenda kusikiliza akadabladabla za hawa wanaojiita majina makubwa , upako, nabii, mlima wa moto n.k wangeutumia hata kulima tuta la mchicha wangeokoa...
  8. K

    Nini ni nini kati ya Tembo, Ndovu, meno ya Tembo, Pembe za Tembo?

    Haaa! Kumbe tembo, ah, samahani, Ndovu ana miguu mitano?
  9. K

    Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

    Ubora wa mbegu unategemea sehemu shamba lilipo, hivyo ni vyema kuwasiliana na watalamu wa kilimo au maofisa ugani wa eneo lako ili wakushauri ipasavyo.
  10. K

    Ukerewe, Mwanza: Meli Mpya yenye uwezo wa kubeba abiria 500 yazinduliwa

    Na kuna sehemu inaitwa Murutunguru, hahaaaa, miss sana mwalimu wangu wa primary enzi hizo alitokea hapo.
  11. K

    Kampuni ya Kitanzania ya Simba Motors kuunda gari la kwanza kabla ya Desemba 30, 2016

    Walala hoi wengi tu wanamiliki hayo machuma mnayoyaita magari, kumbuka kuwa na gari si ANASA tena bali ni kitendea kazi tu, USIOGOPE.
  12. K

    Kampuni ya Kitanzania ya Simba Motors kuunda gari la kwanza kabla ya Desemba 30, 2016

    Jamani tuiache serikari ifanye kazi, waziri Mkuu si kichuguu kilichoota Dodoma eti kila wakati yupo huko tu, watanzania wengine pia wanahitaji huduma yake. Eti wawekezaji wangemfuata dodoma! kwa hiyo na hilo gari wangelazimika kulisafirisha kwa ajili ya mheshimiwa kujionea na kukagua kama...
  13. K

    Tafiti: Zaidi ya Watanzania 450,000 wanaugua magonjwa ya akili

    Si inasemwa kuwa kila mtu ni kichaa, kinachotofautiana ni 'degree' tu?
  14. K

    Kwanini tunashusha bendera yetu ya Taifa?

    Watu humu ndani wachache wanaokubali kukosolewa, tulishasema humu neno Amiri ndiyo UKUU wenyewe kwa hiyo si sahihi kusema 'amiri jeshi mkuu' bali inatosha tu kusema AMIRI JESHI.
  15. K

    Je, tumeumbwa kwa mfano wa Mungu?

    Umemaliza, ingawa ni ukweli mchungu sana. Nikiwaambia hivyo watu huwa wanabaki midomo wazi, lakini si chochote bali ukweli. (Angalia 'Siku sita za uumbaji').
  16. K

    Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

    Somo zuri sana Mkuu, ahsante na ubarikiwe.
  17. K

    Mama Wa mikoani

    Umemaanisha nini hapo? Au huelewi maana ya hilo neno?
Back
Top Bottom