Bila shaka ni utaratibu mzuri tu. Zinazowezekana tuzofanye wenyewe tusizoweza basi tuangalie jirani anayeweza.But it is not amazing a reply to a request has two feedback which are acceptance or rejection.
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Nenda tu kwenye sheria za serikali za Mitaa mamlaka za wilaya na mamlaka za miji utaona alicho kifanya. Kimsingi sheria hiyo ya upangaji inazo kasoro. Land Planning should confine it self on land matters only. Ni sawa na kusema kuwa eneo flani limewiva kupangwa likapangwa alafu ukawa mji wakati...
Hatari sana.Wanasema wengine kuwa trip moja ni kama Nusu Marathon, sasa kama uliwahi kuwaona wakimbia mbio ujue ndiyo kazi yenyewe.WATAALAM WENGINE HUWACHEKA WAKIUME WANAOSEMA WAMEMKANYAGA MSICHANA ALIMAARUFU DEM utaskia nimempasha ase... kumbe yeye ndiye kakanyagwa... kapashwa...Ndo hivo sasa...
Kweli Ngorika na Buffalo noma.Hilo linalotaka kuwanyonga wenzao si lijue tu hata mwenye nayo kayaacha?Tamaa za fisi hazifai.Well.Ngorika ilikuwa inaenda na kwakweli taarifa za ajali hawakuwa nazo
Ni uhuru wa kufikiri lakini hatuwezi kuwa wazembe wa kufikiri kwamba sasa wale walikamata ndege ikidhi deni lao ambalo hata alifiki nusu ya bei ya denge hiyo.Sawa Kiongozi.Ulidhani ni busara tuwache kuwalipa wanaotudai ili tuendelee ku risk mali za nchi? Kuwalipa haki yao kama ilifanyika ni...
Hapa kazi tu. kwa binafsi yangu sijaona kosa la Mh.Raisi.Hiyo ndiyo ''HAKI ISITENDEKE TU BALI ILI IONEKANE KUTENDEKA' kuna tofauti gani na kinachofanyika katika mahakama za wazi? Bila kujali kuwa na mimi siku moja yanaweza au yatanikuta.Katika utendaji kukosea ni suala la kawaida ila ukisha...
Hako kajambo ka dini na kajambo ka Kanda ya ziwa hakafai kwenye vinywa vya watu.Kinacho angaliwa ni nani atasaidiwa kusogeza behewa.KWANI KAMA KILA SEHEMU YA MWANA DAMU INGEKUWA MDOMO PUA INGEKAA WAPI
subject to any other articles of this consitution and any other law.............................. hapo lazima ukaipitie ibara ya 36 na sheria zinazo anzisha mamlaka husika (taasisi na nafasi na majukumu ya waziri.)Hapo jibu litapatikana. Unajua sheria haisomwi moja tu wakati mwingine.
gu, post...
Hiyo siy
o shida ya mwalimu wala askari.Hiyo ni shida ya watumishi tulio wengi.Jiulize wewe PS wanakuzidi mshaara? nao wanasafiri kutoka Kimbiji kwenda posta kutafuta riziki.Mimi nilipofundishwa LABOUR ECONOMICS nikagundua sina ajira ninatibu kiu tu hapa.Ilinibidi nihamie sehemu ambayo hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.