Ina maana wewe hukuweka msimamo katika mwanaume unayemtaka! km ulimpenda kwa dhati, basi hiyo harufu ya pombe isingekuwa kero kwako! lkn naona km ulikubali tu kuolewa nae lkn hukuangalia wala kufikiria unywaji wake. Hapo mwanzo ungesimamia msimamo wako na ukakaa kusubiri asiyekunywa! Ushauri...
Habari hii ina ukweli ndani yake! na hawa watumishi wa Mungu wa Kikatoliki huwa wanaenda kinyume na utauwa wao! swala la mapenzi haliwezi kuepukika, na ndio maana Mungu kamuumba mwanamke na mwanamume. Hivyo, sio vibaya wakiruhusiwa kuoa na kuolewa, watakuwa wamewapunguzia dhambi nyingi sana!
mambo ya sex jamani, ni private issue! na nafikiri hawa wasomi wanaoanza kufuatilia mambo haya, wamekosa kazi sasa! naomba Obama afanye kweli! Aweke record ya President wa kwanza kupata mtoto kwenye jumba jeupe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.