Mwaka huu kuna uwezekano wabunge wengi wa Chadema wakapita bila kupingwa na Ccm,hata hapa Kigoma mjini Ccm bado wanaiogopa Chadema yaani hawaoni wakupambana na Chadema!
Huyo Msaliti ametuvunjia heshima watu wa Kigoma,tunaamini heshima italudi kwetu baada ya kumpiga chini kwenye uchaguzi mkuu ujao na bahati nzuri amejileta mwenyewe Kigoma mjini
Mbona hata Zitto anahujumu Democracy ambayo ndiyo ingeweka vizuri uchumi?.Hatuko tayari kuwa na mtu yeyote anayehujumu upinzani wakweli kwa sababu ya interest zake za tumbo lake
Kiukweli naungana na mleta mada.Kuliko Zitto ashinde hapa Kigoma mjini ni bora Ccm washinde,tutafanya kila linalowezekana huyu msaliti tumdharilishe nasisi.Sio lahisi Zitto ashinde hapa Kigoma mjini
Viongozi wa Ccm nadhaniwatakuwa na raana kutoka kwa Mwenyezi Mungu yakuwafanya mpaka wawe wasahaurifu kwa ya jana,sihuyu huyu juzi tu amesema hahitaji misaada eti wanampa mashariti?.Huko anaombaomba nini tena?.Mbona huyu Mzee wetu anaendelea kututia aibu?
Huyu dogo tulishamzowea ukigeugeu na uongo wake,hiyo Bandari ya nchi kavu hapa katosho niipi mbona siijui au yawachawi wanapokutana?.Kwahiyo tumuamini kwa kusema atagombea kipindi kimoja tu kama alivyosema 2015 hatagombea Ubunge tena?,au ndio Sarakasi mpya ya Urais tena
Kama vigezo hivyo vitazingatiwa kweli tofauti na zile porojo zao zakila siku namshauri atafute wagombea nje ya Ccm,lakini ndani ya Ccm hawezi kumpata hata anayekaribia kuvifikia
Sasa kama wagombea wa Ccm wanaanza kuogopana mdaharo wao kwa wao itakuwaje siku wakiwa na Dr Slaa?, siwatahama nanchi sikuhiyo?.Tulishasema hakuna mtu wa Ccm mwenye utashi wakweli wakuwatoa watanzania kwenye umasikini zaidi yakuwaibia tu.Huo niushahidi mwingine oneni
Kwanza hata mimi nimesikitika kwa huo upotoshaji unaofanywa na Ccm wakuonyesha picture zisizo zenyewe,nakumbuka kuna nduguzangu kule waliokuwepo walinitumia picture huku wakiniambia hakuna watu na nikaziona na pia hakukuwa na meza ila ilikuwa jukwaa.Hivi nyie Ccm mnawadanganya wanani?.Acheni...
Mimi kwa sasahivi sipendi kusikia hizi habari za unyonge kila siku,kwanini tusijihami kwa kujibu mapigo?.Hatuna mikono?.Ifike mahara iwe jino kwa jino tuache unyonge
Hiyo ni laana ya watu wa Kigoma kwa chama chake kwa jinsi walivyoutelekeza mkoa hata Barabara hakuna miaka 53 ya Uhuru.Nadhani ni Kigoma pekee yenye miundombinu yamakumbusho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.