Uliyoongea yote ndio ukweli mtupu uliopo pale..Tunaopajua vizuri wengine wanahisi labda tunadanganya au tumekua wazembe,pale sikuhizi malaya ni wengi kuliko wanawake wa kawaida..pamekua kama kona bar,ukikaa kidogo lazima usikie kuna ugomvi .Sio lachaz tuliyoizoea
Mzee upo kibaha ukoo unalalamika maji hakuna unakuja kuchangia post za watu mjini[emoji3] [emoji3] [emoji122] ..wewe tulia tukianza kuulizia mashamba tutakuita..Vipi umeoga leo ??
Its good to hear that..I was just like you!!ukienda this weekend chunguza utaona pamekua na movements nyingi tofauti na mwanzo na lachaz ilishajengeka ni sehem flan yakistaarab sio zile bar unaenda wallet umeishikiria mkononi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.