Guys,
The planet earth was formed around 4.54 billion years ago by accretion from the solar nebula (geologicallly).
So why comes we see uneven distribution of elements on the earth?
To understand this, first you must know the physical composition and chemical properties of our planet earth...
Mnatakiwa mgome. Fanyeni mgomo usio na kikomo, siyo issue za siku tano hapa. Hivi mnapumbazwa na nini mpaka mnawaogopa haya mafisadi kiasi hiki. Umasikini utawamaliza.
Mtu yeyote ambaye anapigania kuendeleza ufisadi huyo ni adui wa CHADEMA, ni adui wa Watanzania wapenda maendeleo. Hiyo naomba ieleweke, siyo siri.
Usituletee ushamba wako hapa. Arguments zako hizo kama umekosa sehemu ya kuziweka, ni bora usiandike chochote.
Mie mtu wa kujishughulisha sana kimaisha, umri wangu ni kama miaka 33 hivi. Nina MSc na kipato(mshahara) changu kwa mwezi siyo kibaya sana (approx 4,000.00USD). Bahati mbaya au nzuri nimeisha funga ndoa (ya kiserikaili)na kuacha takribani wanawake wanne hivi, kwa vipindi vya miaka minne...
Kumbukene kuwa fani ya udakitari kila mtu anaikimbia. Siyo fani ya kwenda kichwa kichwa. Wametumia miaka mingi sana mpaka kufika hapo walipo. Watu wangapi wanayakimbia masomao ya sayansi! Leo hii unawaletea masuala ya mizaha kwenye maisha. eti?
Kweli kaka, uelewa wa watu humu ni mdogo sana. Watnazania sasa tunahitaji mabadiliko. Maonevu yametosha. Kama mnadhani watanzania wa leo wanafanana na wale wa miaka 50 ilipita naomba msahau hilo. Uelewa wetu umeongezeka kwa kiasi kikubwa. Vijana wanajitambua na wanajua haki zao zote. Wewe kama...
Wapeni madakitari haki zao. Wewe kama hutaki kugoma basi umeridhika na maisha yako yalivyo. Usiwakwaze wenzako wanaopigania maisha yao. Suluhisho waulizeni CCM.
Mfa maji haishi tapatapa, hutafuta kila pa kushika hapaoni. CHADEMA chama cha watanzania na vijana wote tutaiondoa CCm 2015. Naomba tuendlee na maandalizi haya kwa kasi bila kukoma.
Watanzania tumechoka na umaskini huu. Tuna maliasili nyingi hata kuliko nchi za ulaya. ViongozI watakao tuongoza vizuri ndiyo hasa tunachohitaji. MUDA WA MABADILIKO KWA VIJANA NI HUU. 2015 JIBU LETU HASWA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.