Ila pia huyo Rais wa TAFA kajichanganya na kujikuta anatetea utozaji wa VAT kwenye hizo huduma bila kujijua. Pale alipotoa mfano wa mfanyabiashara aliyetoka Congo akilala hotelini, akila chakula akitumia huduma ya kuhamisha fedha ni sahihi kutozwa kodi kwa kuwa ametumia hapa...ina maana basi...
Ila kwa kweli nikiiangalia Tanzania mwaka mmoja ujao hata kodi serikalini itapungua ...maana biashara nyingi zimeyumba hivyo kiasi cha kodi lazima kitapungua mwisho wa siku
Ila Wadau msijifariji kwa vile inamgusa mwajiri. Kumbuka kimsingi Total employees' cost to the employer itaongezeka na hivyo your next increment will automatically be affected as a result of this tariff...meaning mwajiri atahakikisha his next year budget for employees ina-consider hiyo tariff na...
Mkuu Mshana Huyo mwakilishi wa voda alikosea kwenye kiasi cha ruzuku ni USD3.4m sio34m . Hapo chini ni taarifa kwa umma ambayo vyombo vyote vya habari tulipewa : Imeambatanishwa.
TV inaweza kuwa LCD, LED ama Plasma haina uhusiano na Kuwa Digital TV ...cha msingi kama TV yako ni ya digital ndio uongelee swala la kukwepa king'amuzi.
Anyways Tanzania ndio ishakuwa jamvi la wageni. maana raisi tu ni Dk. ( that means ana kipaji maalumu maana hata hajaisomea ...kapewa tu kwa ajili ya kipaji chake maalumu cha magumashi.... na mawaziri wake wengi tu ni ma Dr. hewa kama Nchimbi ambaye amenunua phD ndani ya 2 weeks tukasikia mtu ni...
Pole sana ndugu yangu, ila nasikitika kuwa huna ushahidi usioacha shaka wa kumtia hatiani mtuhumiwa hata kama utamshika. Kumbuka huna namna ya kuithibitishia mahakama kuwa kijana wako hakuwa na hela nyingine feki au hajabadilisha fedha feki na kuzitoa za fedha halali ambazo mtuhumiwa anaweza...
Tatizo hapo ni madereva wengi wa Dar hawajui / hawawezi defensive driving. Pamoja na kuwa dereva wa daladala katanua lakini dereva wa gari la jeshi bado angeweza kuokoka angeapply defensive driving coz angekubali kumpisha dereva wa daladala pamoja na kuwa yeye ndio ana haki ya njia pengine ajali...
Mimi nakubaliana na wewe kabisa.. Wabongo hata siku moja hawako positive. Kwani kuna siri kwamba huyo mama ni mmiliki wa St Mary International Schools kwa muda mrefu sasa . Je unadhani amekuwa akipata hasara au faida? Kama ni faida kwa nini unadhani faida hiyo ya miaka yote hiyo haitoshi kujenga...
YOu and Hengo has just demonstrated that u are in the payroll of Mr Mdhaifu, rest assured you'll forever remain "stupid and selfish bastards with 1kb brain memory size'
Of course..ikumbukwe kuwa kama "polisi njaa" wangetumika then kusingekuwa na coordination na uongozi wa polisi...Mfano alipopolekwa kituo cha polisi bunju Dr Uli hakupewa msaada wowote na kituo ilhali wakijua alikuwa amedhurika vibaya - hii inamaanisha tayari walikuwa na mwongozo kutoka juu kuwa...
Hilo ndio tatizo letu wabongo.. tunapenda kununua vitu sehem za kisharobaro ukitaka tank wewe nenda buguruni kwenye wauzaji wakubwa wanaonunua mojakwa moja toka kiwandani. kwa tanki lako la 5000 lt unaweza uka-save hadi sh 150,000 na wakati usafiri gharama itaongezeka kwa sh 10,000 tu
Huyo dogo kapinda, nimesikia clouds wakimjadili asubuhi kwenye pb kuna utenzi Bonta kajisifu anasema " tungo zake zimebarikiwa na Allah ...zina hadhi zaidi ya bikira ya Maria" . Sasa Bonta akahojiwa kwa nini anawakashifu wakatoliki kwa kulitaja jina la Maria kwa namna ya upuuzi ..akatoa...
Hivi tunawezaje kuishi kwa matumizi yafuatayo kila mwezi? Fikiri; Matumizi nyumbani; chakula, umeme, gesi, maji, soda/juisi za wageni.Ada za watoto zinazolingana na za chuo kikuu Matibabu hospitalini,pesa ya walinzi kwamwezi, sherehe za kuaga na kukaribisha mwaka mpya, Zaka ya kanisani na...
Hata JK naye anahusika kwa kuwa kama yeye yupo na hafanyi chochote kutatua mgogoro, au kuwafuta kazi waliopewa dhamana ya wizara ya afya... Uwaziri Mkuu basi na yeye anahusika Moja kwa moja.
Shame shame shame on you "Government for (your relatives)" and no longer Government for the people...
Hivi ni kwa nini watu hupenda kutoa takwimu za kubuni bila kuzifanyia uchunguzi...? Kwa mfano mimi nina ushahidi kuwa gavana wa BOT hulipwa USD 25,000 sio Tzs 20m . kwa hiyo natilia mashaka takwimu nyingine kwa kuwa kwa hii niiijuayo ya BOT governor imepunguzwa sana Tzs 20m sidhani kama Tanzania...
Kuwa mbunifu, usichukulie kila mtu anayesoma hapa jukwaani anajua faida zake... mimi nakushauri uelezee faida zake ili uweze kupata pia soko la wale ambao bado hawajui faida za mafuta ya ubuyu. Usipoeleza faida zake hapa jukwaani utakuwa umejizibia riziki na utabaki na wateja wanaozijua kwa sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.