NI vyema wananchi mrudi kiendesha magari yenye ujazo mdogo km vitz IST passo Ractis nk..
Hayo maHarrier na Forester V8 DUALLIS Yafungieni kwa kitambo mpk hali itakapobadilika ya bei ya mafuta
Moto upo na mbingu ipo..wazinzi wooote mahali pao ni..[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] period
Mpokee Yesu leo upone...atakupa nguvu za kushinda tamaaa za mwili
Je mtoto wa mumeo aliyemzaa nje kabla ya kuoana akalelewe wapi..wanaume wao wanawaleta ndani akae na kulelewa na mke wa ndoa...km na wewe una wako asiletwe pale akae na bibi yake
Nadhani katika hili yako mengi ndani ya moyo wa huyu dada ambayo hatuyajui..
Sio kawaida kuna kitu kimefichika katika hisia zake ambapo ni yeye pekee na Mungu wake anakijua
Kuna taarifa za malalamiko ya Mbopo Mabwepande na Bunju B..kuhusu kuvamiwa na maafisa wa Manispaa Kinondoni na wavamizi wengine kudhulumu viwana vyao.
Inadaiwa kuna kamati iliundwa kuchunguza madai hayo ambapo inasemekana Manispaa imewataka wavigawe nusu wachukue serikali na nusu ibaki na...
Ni laana hiyo ni vema turudi kwa Mungu kwa toba nzito..hivi vitu havijawahi kutokea ktk nchi yetu.
Upendo umepoa KIU YA KUMWADA DAMU TU INAENDELE
Hebu shitukeni mtaumana na kumalizana.
Yaani mtu akikuudhi tu anakula panga damu inamwagika.
Kuna kitu kimefanyika kwenye ardhi yetu cha kiroho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.