kuhusu suala la ajira ni kama tunaonewa kwa sababu wanaohitimu vyuo hawapewi vyeti hapohapo kama zilivyo baadhi ya shule ila kuna utaratibu wa kusubria ndiyo maana watoa transcript ili wale watarajiwa katika ajira waweze kupata. sasa wanaposema hakuna kuja na transcript bali vyeti original hapa...
hellow.
jamani mimi ni mwanachama mpya wa JamiiForum mpya naomba kupokelewa ili nami niwe mwanafamilia na kutoa mawazo kama mnavyochangia katika mada zetu za maendeleo. asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.