Give your customers more and more of what they want (in most cases classic services i.e. good quality product within the agreed timeframe) and less and less of what they don't want (often times longolongo and uswahili!). Have a wonderful carrier.
TBC pale taaluma ya habari imeachwa na kinachofanywa ni ushabiki wa siasa! Who does not know ya kwamba Tido alipewa kazi pale kimagumashi! Hivi kuna shirika gani la umma ambalo DG ni ex-form four kama si TBC peke yake?
Na naambiwa ya kwamba huyu bwana pamoja na division three ya form four...
Nchi hii kweli aibu hakuna! Kama Londa ambae ameifanya manispaa ya Kinondoni kama chaka la wezi na wahuni anadiriki kwenda tena kuomba ridhaa ya wananchi, siyaamini macho na masikio yangu!!! Hata kama WaTz wengi ni mbumbumbu linapokuja suala la haki za raia, this is more than a joke! This is a...
Is this true JFers? If at all this is true, there must be a more serious problem boiling in the treasury than the easily perceived one by the Tanzanians especially the non-economists! Can we as Tanzanians do something collectively to do away with all these sources of unnecessary embarrassment...
I share similar views mpiganaji!!!! The content is well spoilt before it goes on air.... It is a bit discouraging that there is one and only one courageous journalist who is capable of unearthing the scandalous and pitious reports in this country, Jerry Muro.
In Tanzania, it is the Tanzania Commission for Science and Technology that would have thought and implemented all the good thoughts raised above, to take us at least the right way towards that route, but what is really happening there is all shames even noting it here. Good people, we are...
This is tantarizing!!!! What a mess? Who is David Mattaka after all????!!! His name appears in almost all the lists of shame of this country but still alive and surviving! We will one day apply the Mungiki style of mutinying people like him who are fully hated by the development liking people in...
Guinea is frankly a funny country. But there is a lesson to be learned by us (Tanzanians), the government should always be pro-people and never be at the hands of very few elites for whatever reasons be they rich nor have access to the army barracks.
The GoT should sit down, reflect and stop...
Kiutendaji Lowassa was good. Tatizo lake ni tabia hizi za ufisadi na kupenda fedha hata kama anazo za kutosha!!! Hata kama yeye si fisadi kama ambavyo wengine wangedhania, kutuhumiwa all the time kwa mtu wa madaraka kama yake is purely enough to tarnish him!
Pinda needs to be more proactive...
This kind of habari zinaidhalilisha forum yetu. Moderator please do something, tuwe critical in discussing only developmental issues and not people!!!!!
Utakosa wachangiaji tukikosa kulitazama hili kwa jicho stahili!!!
To the best of my personal understanding, Chiligati as a person is humble, very disdainful, and a man of people. His arrogance now is a product of being coerced in a barbaric and corrupt system. I also agree with you blaming him for having accepted to work under this system, which directly...
To the best of my personal understanding, Chiligati as a person is humble, very disdainful, and a man of people. His arrogance now is a product of being coerced in a barbaric and corrupt system. I also agree with you blaming him for having accepted to work under this system, which directly...
Napata taabu kupata tafsiri sahihi ya celebrity!!!
Hawa vijana wanalazimisha jamii iwape heshima kwa kuwa kumbe wao wanadhani ni celebrities! Wakiwa sehemu ambazo kuna watu wengi sana walio-fail masomo kama wao, wana-command respect hata kwa nguvu.
Mimi sijaona celebrity wa kweli kati yao...
Napata taabu kupata tafsiri sahihi ya celebrity!!!
Hawa vijana wanalazimisha jamii iwape heshima kwa kuwa kumbe wao wanadhani ni celebrities! Wakiwa sehemu ambazo kuna watu wengi sana walio-fail masomo kama wao, wana-command respect hata kwa nguvu.
Mimi sijaona celebrity wa kweli kati yao...
Bravo Kamanda,
Lakini jambo moja ni dhahiri, hawa vijana sidhani kama yuko mmoja wao ambae amemaliza kidato cha nne akapata hata point 25 (yaani division III)! Kiwango chao cha elimu na haya wanayoyafanya hayana tofauti kabisa na uelewa wao! Kwa wao mafanikio haya is a surprise achievement...
This commission is endowed with so much responsibility and a lot of expectations down the road to 2020. Many of the developed economies have embraced S&T to the highest order. They are also striving every minute to make the best better when it comes to employing S&T for their country and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.